Elections 2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania

Sheria ya mitandao inakuhusu dogo
 
Inaonekana umetumwa na CCm uje utafute wanachama zaid ila kwa hapa umegonga mwamba upuuzi wako huko huko CCm na ufasadi wenu kwenda huko

Kutafuta wanachama leo tena?

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
FaizaFoxy Jihad John kauliwa na rocket za Marekani muda mfupi uliopita. Kama utaenda Syria safari njema.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kutuzingua porojo zenu andika vitu vyenye tija.Sio unaposti utumbo we unafikiri ukawa wasingekua na busara hii nchi ingekalika.We tulia kula ugali wako ----- we Lowasa Lowasa kuna mwenye hekma kama Lowasa
 
Quiet strange with ur words
These are justification of what discuss now
Every person in tanzania under world are multicasting something weird

Election election election campaign at last to face families
Ukawa supporters and fans be amuted faintest
 
Acheni kutuzingua porojo zenu andika vitu vyenye tija.Sio unaposti utumbo we unafikiri ukawa wasingekua na busara hii nchi ingekalika.We tulia kula ugali wako ----- we Lowasa Lowasa kuna mwenye hekma kama Lowasa

Acha maneno ya upenzi usio na tija ndugu yangu,ungekua kanda ya ziwa na ukachunguza vzr kwa nini Magufuli kashinda usingelaumu ccm,ungeenda kutoa ushauli cdm waje na kasi mpya ya umoja wa kimakabila na siyo uongozi ulojaa watu wote wenye vinasaba vya ukanda m1.kisha wape ushauli wa kuwapoza na wengine walioumia kwa sababu ya Dr Slaa..hawakupata elimu ya kutosha kwa nini kafukuzwa mtu walomuamini na kwa nini wamemleta mtu walosema hafai,hili halihitaji degree kujua,huku kanda ya ziwa tulipiga kura na watu wengi tu wakilipa kisasi cha Dr Slaa kwa kumpa kura Magufuli na wengine kwa kuwalalamikieni na jambo la ukanda.mahala pengine siyo lazima utukane au utoe kauli mbovu,ni vzr kufanya uchunguzi.
 
Ndugu yangu waheshimu sana ukawa,acha kabisa ushabiki usio na maslahi kwa taifa,ukawa wametufanya tuelewe wizi mwingi unafanywa na viongozi,angalia aliyosema magufuri mengi niyale waliyokuwa wakiyapigia kelele ukawa
 
Ndugu yangu waheshimu sana ukawa,acha kabisa ushabiki usio na maslahi kwa taifa,ukawa wametufanya tuelewe wizi mwingi unafanywa na viongozi,angalia aliyosema magufuri mengi niyale waliyokuwa wakiyapigia kelele ukawa

Siyo waliyokua wakiyapigia kelele ukawa,kweni mambo yanayoendelea yeye alikua hayaoni ameyasikilia kwa ukawa?kuweni wapole Magu afanye kazi,keshashinda na yeye ndo rais,kaeni kimya na mpige kazi pia.ni kweli upinzani unaiweka serikali mguu sawa ndiyo lakini siyo kitu cha sifa ni kufanya kazi,haupo muda wa kulaumu au kujisifia sifia ni kazi tu..wanayosema ukawa hayo ndo tunataka waseme japo upinzani bado haujafit kuiweza nchi kuongoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…