HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
Hivi sasa ukiangalia ITV utaona ziara ya ghafla ya Raisi Magufuli aliyoifanya leo JNIA inarudiwa na pia Channel 10 walitangaza kuwa wangerudia tukio lote hilo baada ya taarifa yao ya habari ya saa 1:00 usiku huu na msimulizi katika kipindi hiki kwa sauti bila shaka ni Msigwa wa magogoni.
Sasa wapinzani,wakati Bunge live likiwe limepigwa stop huku mambo haya yakiendelea,inabidi mjitafakari sana na ikibidi na nyie muwe teyari kutumia media kwa mambo ya msingi mnayofanya vinginevyo hali hii itakuja kuwa -cost.
Ni ushauri tu.
Kwani Msigwa wa Magogoni ametoa kipindi LIVE au ali-record?