R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) wamekubaliana kura za mgombea uraisi kulindwa na mawakala watano.
Mawakala wanne ni kutoka vyama vinayounda ukawa - nld, nccr, cuf na chadema.
Na wakala mwingine ni wa chama kina cho support lowasa ; tlp kupitia maxmilian lyimo; ambaye kwa sasa katangaza kumuunga mkono ; ndugu edward lowasa.
Huu ni mkakati wa kuongeza tija na kuthibiti; watu waitacho bao la mkono.
Na hii ni pigo kwa ccm kwa formation ya 4 (striker) against 1 (defender); hii ni kufutilia mbali kross na kona ili wasipate bao la mkono; hii inaitwa tit making
hii ni faida kwani nec aitambui ukawa; inatambuwa mgombea chadema; hawa mawakala wanaingia kwa mwavuli wa ukawa.
Kwahiyo zile ndoto za duni za vituo 20,000; za vutwa ghafla.
Mawakala wanne ni kutoka vyama vinayounda ukawa - nld, nccr, cuf na chadema.
Na wakala mwingine ni wa chama kina cho support lowasa ; tlp kupitia maxmilian lyimo; ambaye kwa sasa katangaza kumuunga mkono ; ndugu edward lowasa.
Huu ni mkakati wa kuongeza tija na kuthibiti; watu waitacho bao la mkono.
Na hii ni pigo kwa ccm kwa formation ya 4 (striker) against 1 (defender); hii ni kufutilia mbali kross na kona ili wasipate bao la mkono; hii inaitwa tit making
hii ni faida kwani nec aitambui ukawa; inatambuwa mgombea chadema; hawa mawakala wanaingia kwa mwavuli wa ukawa.
Kwahiyo zile ndoto za duni za vituo 20,000; za vutwa ghafla.