chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Yakija simiyu haya majuha lazima lazima tuyazomee na kiyadunda na mawe.
Hasira za wanacnhi mmeziona kwa yule mjumbe wa dodoma aliyedundwa na wananchi
Yakija simiyu haya majuha lazima lazima tuyazomee na kiyadunda na mawe.
Kabisa kabisa.hawa majuha eti
Kwani bavicha siku hizi wamekuwa wananchi?Hasira za wanacnhi mmeziona kwa yule mjumbe wa dodoma aliyedundwa na wananchi
Kusema kweli pamja na kuwaunga mkono 100% kwa kutoenda Bungeni kwa hili sioni mantiki. Wakae kimya maana kimya kingi kina mshindo mkubwa. Wakati wa kuhamasisha umma kupinga rasimu ya Sitta bado.
Kwa taarifa hii wazee wa feva bila shaka wameenza kusafisha mitutu yao ya mabomu ya mchozi
Hawana kazi ya kufanya acha wakatembee mtaani wauze sura wataonekanaje bila kujiuza.
yanapingwa matumizi mabaya ya fedha za umma kutokana na kujadili mambo ambayo hatujawatuma.
Kwa taarifa hii wazee wa feva bila shaka wameenza kusafisha mitutu yao ya mabomu ya mchozi
Hakuna lolote ukawa wamechemsha wanawapiga mkwara wabunge wao mbowe mbatia na lipumba wanapiga hela toka ujerumani
Tunawatakia kila la heri kitu cha maana ni ujumbe maalum katika mikutano si kutukana au kumwaga kashfa.Ningependa mikutano hiyo ilenge kuwajenga na kuwafunza waTanzania uchafu unaofanywa na bunge la posho huko mjini Dodoma.
UKAWA KUFANYA MAANDAMANO NCHI
NZIMA KUANZIA WIKI IJAYO YASIYOKUWA
NA RATIBA WALA KIKOMO.
Mhe James Mbati akisoma Tamko la UKAWA
kwa niaba ya Mchumi wa Kimataifa Prof I
brahim Lipumba na Freeman Mbowe
"Maandamano Nchi nzima na Mikutano ya
Hadhara kwa ajili ya kuhamasisha watu
kupinga matumizi mabaya ya Fedha za
Wananchi katika Mchakato wa Bunge Maalum
la Katiba."
Mhe; Mbatia ameendelea kusema "Baada ya
kukamilika kwa Mazungumzo yanayoendelea
na CCM wiki hii.Hata hivyo Ukawa
wamesema,kwa kadiri mazungumzo
yanavyoendelea hakutakuwa na tija hivyo
ameamua kuweka wazi azma ya kufanya
maandamano"
Professa Lipumba amerudia WITO wake wa
kuwataka VIJANA kuanza mazoezi ya VIUNGO
kwajili ya ukombozi.
Freeman Mbowe amesema NGUVU ya UMMA
sasa kutumika ili kuleta UKOMBOZI hakuna
kulala mpaka kieleweke kuanzia wiki ijayo.
Ni MAANDAMANO ni MAANDAMANO mpaka
Mkoloni mweusi atupatie KATIBA yetu.
NB Ikumbukwe JINI likitoka kwenye CHUPA
huwa halirudi ndani ya CHUPA serikali 3 ni
lazima sio ombi tena.
ila wahakikishe kwenye maandamano hayo wake zao na watoto wao wawemo.
Kaeni chonjo na Lameck madilu asije akawalipua tena. Mungu awatangulie.
Wabunge wa ukawa kuweni macho viongozi wenu wanatajirikia migongoni mwenu na ukimya wenu ndiyo Msemo ule wajinga ndiyo waliwao
Kaeni chonjo na Lameck madilu asije akawalipua tena. Mungu awatangulie.