Penye CHADEMA hapakosi maandamano!
Safari hii tunataka viongozi wa UKAWA wakae frontline.
Sio kutanguliza vijana kama chambo!
Waache waandamane maana wale jamaa wako 600 wanapiga maoni ya watu 17000 wasitufanye siye majuha
Penye CHADEMA hapakosi maandamano!
Safari hii tunataka viongozi wa UKAWA wakae frontline.
Sio kutanguliza vijana kama chambo!
Kwani bavicha siku hizi wamekuwa wananchi?
Hizi ni habari njema tuko pamoja UKAWA ndo mpango mzima
Mbowe alienda kuchukua hela mombasa mpaka gari lake likakamatwa alipewa hela za posho za siku 60 za wabunge wa ukawa cha kushangaza wanaendelea kuzila yeye lipumba na mbatia
Wakiitisha Maandamano na wewe uende, sio kuchochea wenzako huku JF wakavunje sheria.
Protest is not allowed
Wakiitisha Maandamano na wewe uende, sio kuchochea wenzako huku JF wakavunje sheria.
wakiitisha maandamano na wewe uende, sio kuchochea wenzako huku jf wakavunje sheria.
Niko tayari kuandamana na ikibidi hata kupigwa bomu na c.c.em,ili niifie katiba kama dk.mvungi.
Mimi ni polisi
sijapiga watu siku nyingi jamani..... fanyenj fasta tangu nitoke kozi
sijakutana na maandamano nipo fiti kuwakabili
Mimi baba yako mzazi.Kwani wewe ni mwananchi au intarahamwe...????????
Ukipiga raia nasi tutakutafuta mtaani labda uishi kituo cha police
Kwahiyo wakiandamana watapata katiba mpya?