Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
hii comment yako ungeitoa muda wa mchana ingependeza zaidi.
wewe ni nani kupangia nani post nini na saa ngapi
hii comment yako ungeitoa muda wa mchana ingependeza zaidi.
Namna hiyo mkuu mpaka wakauze mbege kwao mwaka huu
tehe! kaongea usiku huu eeh? haya bwana we eendelea tu ila mwisho wa ubaya....!
Mkuu Greenwhich,
Hivi Mwigamba alikuwa anatumia ID gani alipokuwa anaweka post za kishenzi kuwagonganisha viongozi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hivi makao makuu ya ACT yapo kigoma?
Mkuu Greenwhich,
Hivi Mwigamba alikuwa anatumia ID gani alipokuwa anaweka post za kishenzi kuwagonganisha viongozi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mwigamba anatuaibisha sana wahasibu na ma auditors. Natamani NBAA wamnyang'anye CPA yake. Hii ni aibu
Mwigamba anatuaibisha sana wahasibu na ma auditors. Natamani NBAA wamnyang'anye CPA yake. Hii ni aibu
Sio certified,ndo kwanza yuko module e,kipindi ile anaandika proposal ya kuombe hela kutoka Gombe consulting ndo alikuwa aende kulipia hiyo mitihani,kama alipewa na kufanikiwa nadhani alipewa clause ya kumfanyia donor/zitto kazi zake kwa muda fulani.Heeh kumbe jamaa ni certified accountant!sasa mbona anajidhaliliswa na Zito namna hii,kutumiwa kama chambo
Kigoma mko smart sana ila mna matatizo yafuatayo.Kigoma tuko smarter than you think!
Mwigamba hakumaliza CPA, aliishia Module 7 akakwama, chezea magamba wewe, walimtosaMwigamba anatuaibisha sana wahasibu na ma auditors. Natamani NBAA wamnyang'anye CPA yake. Hii ni aibu
Te te teh...
Mkulima Masikini!
Njoo tulime bangi tu kilimo cha siasa kimeshakushinda mwiGAMBA..
Mwigamba hakumaliza CPA, aliishia Module 7 akakwama, chezea magamba wewe, walimtosa