Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,429
mwenyekiti wa act tawi la jf naona hutoki kwenye huu uzi
Mwisho wa ubaya....!
mwenyekiti wa act tawi la jf naona hutoki kwenye huu uzi
hiko chama kilikufa kabla hakijaanza
Mwisho wa ubaya....!
ndugu yangu,Namna hiyo mkuu mpaka wakauze mbege kwao mwaka huu
Kumbe, kila la kheri...mimi naitetea haki kokote ninakoiona.Wewe je!
ndugu yangu,
Nimegundua hakuna haja ya kupata shida kuwaelewesha watu wanaofanya makusudi.
Haya pambana! Ila mwisho wa ubaya.....
Namshauri aache siasa kwa sababu mradi wake umebuma.kwakuwa kwenye chama kama act, ccm haitampa tena fungu hivyo akatafute ajira hata kwenye magazeti ya udaku.
mimi naitetea haki kokote ninakoiona.Wewe je!
Mwisho wa ubaya....!