UKAWA imeivuruga ACT - Mwigamba

UKAWA imeivuruga ACT - Mwigamba

Act ccm inapendwa na wasaliti wote tz kama kina laki si pesa zzk mwigamba na babu lao LA wasaliti kitila
 
kwa mtindo huo kina betlehem, Dotto C. Rangimoto na wafuasi wao kina Ruttashobolwa wakawe ma dj kwenye ngoma za vigodoro tu pamoja na huko kwenye baikoko, au watengeneze live bendi wawe wanatuburudisha tu, au watengeneze kundi la vituko show kundi la vichekesho maana hakuna kazi nyingine nimewapa option hizo wachague kati ya hizo...
 
Last edited by a moderator:
Uwiiii. Uwiiii uwiiii. Act ccm kwishiney. Mwigamba kitila na zzk ombolezeni. Marehemu mayake zzk alimwambia ukihama cdm umekwisha kisiasa tena utakufa mapema. Kwa usaliti mlioufanya dua za watanzania misikitini na makanisani kwenye mkesha zitawamaliza kisiasa kabisa. Bora msingeingia tena kwenye siasa kabisa
 
Akili ndogo sana hii ya kina Zito,,hawakujipanga kiukweli. Hii imeshasanuka. Hii strategy ya kuonekana wapo kwa kwa ajiri ya kukipinga chadema itawaondolea mantiki nzima ya kuwa chama cha upinzani. Na CDM watakamata hapo hapo basi mchezo utakuwa umeisha bila habari.
 
This is too low. Kama wenzie kabwe wanaonyesha uwezo huu basi wamemponza mwenzao. Zitto Kabwe anavyo vingi vya kupoteza,vingi kuliko hao jamaa wawili,jina lake kalijenga kwa miaka mingi na kwa nguvu nyingi. Kaanza harakati kitambo,cdm kuna jasho na damu yake ya kutosha sana,kafanya mengi!
Kaa cdm huko huko,jikaze kisabuni ukitoka tuu basi ishakuwa shari kamili,bora nusu shari kama hivyo.
Akihama atailetea CDM athari,lakini athari za CDM zitakuwa ni za wengi kama chama na zitakuwa recovery mapema na haraka kuliko upande wake kama single entity.
Nimejaribu kufanya opportunity cost baina ya Zito na CDM kama akiamua tukose wote. Ukweli itamcost sana,ni bora aache siasa kuliko kupoteza reputation yake alioijenga kwa miaka mingi na nguvu kubwa kwa kuwafuata hao jamaa kwa akili hizo hapo juu.
 
Chama gani hicho viongozi wake ukiwapa laki 2 wanasaliti chama rejea kwa Mwigamba,Mkumbo.
 
kwa mtindo huo kina betlehem, Dotto C. Rangimoto na wafuasi wao kina Ruttashobolwa wakawe ma dj kwenye ngoma za vigodoro tu pamoja na huko kwenye baikoko, au watengeneze live bendi wawe wanatuburudisha tu, au watengeneze kundi la vituko show kundi la vichekesho maana hakuna kazi nyingine nimewapa option hizo wachague kati ya hizo...

Ha Ha Haaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Akili ndogo sana hii ya kina Zito,,hawakujipanga kiukweli. Hii imeshasanuka. Hii strategy ya kuonekana wapo kwa kwa ajiri ya kukipinga chadema itawaondolea mantiki nzima ya kuwa chama cha upinzani. Na CDM watakamata hapo hapo basi mchezo utakuwa umeisha bila habari.

Huh Huh Huh!
 
Katibu Mkuu wa ACT Samson Mwigamba amekiri ujio wa Muungano wa UKAWA umevuruga malengo ya chama chake.

Mwigamba amesema lengo kubwa la chama chake ni kuwaunganisha wananchi na kuwaeleza ubovu wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Mwigamba amesema hata hivyo kwa sasa Chadema iko katika ushirika na vyama vya CUF na NCCR chini ya mwamvuli wa UKAWA.Ameendelea kudai kwamba imekuwa vigumu kueleza uovu wa Chadema wananchi wakaulewa kwa sababu imetokea wananchi wanaiamini UKAWA na hawataki useme chochote kuhusu mshirika wa umoja huo.

Mwigamba hata hivyo amesema anaamini UKAWA utasambaratika kabla ya 2015.Na baada ya hapo ndipo wananchi wataelewa kuhusu vita ya ACT na Chadema.

Source:Sauti Huru.

Act ni kikundi cha waigizaji au ni aina ya movie
 
Kama hii kauli ni ya kweli basi ni habari mbaya kuliko zote. Chama huwa kina anzishwa kwa kuanagalia vilivyopo vimeshindwa kutekeleza itikagi au malengo Fulani. Kweli Mwigamba, Mkumbo na wengine mnaanzisha chama cha kupambana na Chadema, ina maana Chadema ikifa basi na nyinyi chama chenu kinakuwa mfu? Hivi kweli Dr>Mkumbo na Phd yako nzima tena sijui ya saikoloji unaanzisha chama sera yake kuu na ambayo ya kificho ni kupambambana na Chadema. Chukuwa mfano huu kutoka kwa Malkia, Labour ni chama cha wafanyakazi kule Uingereza sera yao kuu ni kutetea wafanyakazi kwa kila jambo, Conservatives wao ni watetezi wa mabepari wenye viwanda,mashamba nk. Liberal wao wakaja wakaamua kukaa katikati. Miaka ya 1990s ilianzishwa UKIP..UK Independent Party ili kupinga UK kupata amri na maelekezo kutoka Euro, watu wengi waliwadharau kama wapiga kelele na kuwabatiza kuwa ni wabaguzi, sasa uchaguzi wa bunge la ulaya uliofanyika mwezi uliopita wamepata Wabunge wengi kuliko vyama vyote vikuu vya Uingereza.

Natoa mfano huu kwa kutaka kuonyesha siasa za agenda na siasa za mnyukano, Kizazi cha sasa kinazidiwa mbali mno na wazee wetu wakina Mtemvu pale alipotofautiana na TANU kuhusu suala la kura tatu yeye alianzisha ANC kwa ajili ya kutetea Waafrika na wala sio kupambana na TANU.

Kwa malengo haya ya ACT- Mkumbo, ZZK, Mwigamba, Lembu na wengine bado sana...hamjanishawishi kuwafuata
 
pole mwigamba labda nikusaidie namna ya kumaliza cdm ww bwana badala ya kupambana na cdm unapambana na mbowe ukawa hawawez kuweka ukuta bali hujajua kua cdm walishakua na miziz hawawez kufa kirahis kama nccr mageuz.hata jamaa yako zito alidhan kua yeye ni bora kuliko chama lakin nakupa miez 3 ijayo kama jina la zito utalisikia tena.na asijelogwa akajiunga na ww bora awafate juliana na mwampamba.huko kwenye hard ofce yenu.ni bora hata wewe ungeenda tu ccm kuliko walivyokufungulia branch ufanye kaz ya kuua cdm sasa unaanza kukir kushindwa unategemea nin? kama si watakutupa kama condom ilokwisha kunyengea.
 
pole mwigamba labda nikusaidie namna ya kumaliza cdm ww bwana badala ya kupambana na cdm unapambana na mbowe ukawa hawawez kuweka ukuta bali hujajua kua cdm walishakua na miziz hawawez kufa kirahis kama nccr mageuz.hata jamaa yako zito alidhan kua yeye ni bora kuliko chama lakin nakupa miez 3 ijayo kama jina la zito utalisikia tena.na asijelogwa akajiunga na ww bora awafate juliana na mwampamba.huko kwenye hard ofce yenu.ni bora hata wewe ungeenda tu ccm kuliko walivyokufungulia branch ufanye kaz ya kuua cdm sasa unaanza kukir kushindwa unategemea nin? kama si watakutupa kama condom ilokwisha kunyengea.

Ha Ha Haaa!!
 
Back
Top Bottom