UKAWA; Iko wapi timu yenu ya Kampeni

UKAWA; Iko wapi timu yenu ya Kampeni

Samweli sitta,mdahala na lowasa utalisaidia nini taifa hili,kwa unafiki wenu mlishindwa kuchukuliana hatua jambo ambalo ndilo lingekuwa la msaada kwa taifa, sasa unakuja wakati huu na kutaka mdahalo,mnapenda sana kupiga domo huku taifa linaangamia,nilifikiri kwa umri mlionao na mambo yalivyo muache kupoteza muda kwa kupiga domo tu,kama una ushahidi lisaidie taifa hili peleka mahakamani.mme waambukiza watanzania ugonjwa wa kupiga story hata maofisini.kazi zinalala tu.
 
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.

Sisi hatuna haja timu kampeni na hatukopy na kupest na tumeisha shinda tunachofanya sasa ni kuwambia wananchi tutawafanyia nini hatuombi tena kura.

Na mjue timu kampeni ya UKAWA wananchi sisi wenyewe wapenda maendeleo.
 
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.

Kampeni team si lazima itangazwe
 
Hivi mbona hujiulizi kwanini CCM imetangaza timu ya kampeni yenye wajumbe wasiopungua 32, lakini mpaka sasa walionekana kufanya kampeni za Magufuli hawazidi makada 5, wengine wako wapi?

Siasa ni mbinu na mikakati, sio wakati wote unapaswa kuonyesha silaha zako, askari wako na mbinu zako kwa adui, ndio wanachokifanya UKAWA kwa sasa.
Kwa mfano, Mbinu za Lowassa mpaka sasa CCM wanashindwa kabisa kuzielewa, Ziara za ghafla, mikutano ya makundi maalum, Double Impact strategy, Mkakati wa kura za wanawake nk.
UKAWA wanasonga mbele kwa kasi kubwa sana, wakati CCM wanakazana kutapika matusi, mipasho na ujinga majukwaani.
 
Wagombea mbalimbali wapo majimboni wanafanya kampeni, kwa lugha ya socca hapo jamaa (ukawa) wanakaba mpaka penalti.

msitarajie kina lissu, mnyika, msigwa, Heche, Lema eti wajirundike kumnadi Lowassa. Lowassa ananadiwa na kila chama na kila mtanzania ikiwemo ccm.
 
haina haja ya timu, timu yenyewe ccm kazi kupiga vijembe badala ya kuelezea sera, ccm wameweka mgombea ambaye hakujiandaa ndiyo maana wanatumia nguvu nyingi kumnadi,
 
Huwezi kuona team kampeni toka vyama vya ukawa sababu hela ya kampeni ya Lowassa binafsi.

Hivyo yeye ndio anaamua nani awe nae.
 
Hivi mbona hujiulizi kwanini CCM imetangaza timu ya kampeni yenye wajumbe wasiopungua 32, lakini mpaka sasa walionekana kufanya kampeni za Magufuli hawazidi makada 5, wengine wako wapi?

Siasa ni mbinu na mikakati, sio wakati wote unapaswa kuonyesha silaha zako, askari wako na mbinu zako kwa adui, ndio wanachokifanya UKAWA kwa sasa.
Kwa mfano, Mbinu za Lowassa mpaka sasa CCM wanashindwa kabisa kuzielewa, Ziara za ghafla, mikutano ya makundi maalum, Double Impact strategy, Mkakati wa kura za wanawake nk.
UKAWA wanasonga mbele kwa kasi kubwa sana, wakati CCM wanakazana kutapika matusi, mipasho na ujinga majukwaani.

Kama ipo na ipo katika mikakati basi haina shaka hapo.
 
Ukawa yenyewe nzima ni Timu tosha ya Kampeni,unataka timu gani nyingine

achana nao mkuu hawajisomi hao mabwege, wanataka kila kinachofanywa na maccm na sisi tuige. Team kampeni ni sisi wenyewe wananchi
 
watanzania tumezoea copy and paste kwahiyo mnataka kila anachofanya CCM nao wapinzani wa copy and paste!
 
Wagombea mbalimbali wapo majimboni wanafanya kampeni, kwa lugha ya socca hapo jamaa (ukawa) wanakaba mpaka penalti.

msitarajie kina lissu, mnyika, msigwa, Heche, Lema eti wajirundike kumnadi Lowassa. Lowassa ananadiwa na kila chama na kila mtanzania ikiwemo ccm.

Wameenda kutetea kula yao majimboni.
Wakipigwa bao huko imekula kwao 😆
 
Timu ya ushindi ni kitengo cha mchwa cha ccm kinachokufuru kodi za wananchi.

Ukawa hatuna sera mufilisi.
 
Back
Top Bottom