Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Ukawa kila mtu yupo kwenye timu ya kampeni
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.
Kila mwanachama ni timu ya ushindi anafanya kazi ya uhamasishaji...ndio maana kila mwanaukawa anapost vtu vya ukawa na kitangaza uzur na mikutano inapofanyika..hatuwaachii watu20pekee au 32..mabadiliko ni yakwetu sote
Hujaona dosari yeyote mkuu? Najua Mungai, Masha na Sumaye hawaijui vizuri CDM achilia mbali UKAWA, tunaweza kuruhusu akina Lissu, Mnyika et al kujikita majimboni kwao ili kujiimarisha vizuri.
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.
Ni kweli uliowataja hakijui chama vzr lkn kampeni ina sura mbili moja ni kuelezea mapungufu ya mshindani wako-ccm,ambapo apo sasa wanaoweza kulezea ubovu wa ccm ni sumaye..masha na mungai kwakua wao walikuepo muda..upande wa pili ni kuelezea ubora wa sera zko hii ndio kazi ya lowassa mwenyewe na viongozi wengine wa chama..hivyo kwa upande mmoja wa kampeni imeshafanikiwa bado wataungana pamoja..kwasasa wamegawa makumdi matatu..kundi la mbowe..la duni aji na la lowassa mwenyewe...shaka ondoa kaka.#mabadiliko lowasa
Umeandika kwa furaha na bashasha kubwa na hivyo nikupongeze kwa hilo mkuu. Niko eneo ambalo linaelekea kuwa ngome ya CDM kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na akina zitto, dr slaa, mbowe et al kwa kuieleza vizuri sana na hatimaye kukubalika kwa cdm.Kama kuna mpango wa kujoin huko mbeleni haina taabu, vinginevyo itakuwa ngumu kutoboa kwenye propaganda hizi na hasa za chama kutekwa na wajanja. Mark it...
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.
CCM imekuwa na timu za kampeni huzitangaza waziwazi...umewasahau akina Ulimwengu enzi za Mkapa, EL na Kinana enzi za JK? Timu ya UKAWA kama ipo chini kwa chini mimi hapo sina tatizo mkuu
Mbona unaweweseka.Ww umesikia wapi wakilalamika kwamba hawana timu ya kampeni.
CCM ni timu tosha kabisa ya kampeni yake maana wanatumia mda mwingi kumnadi (kwa mabaya yake) na kumpa publicity, mpaka wanasahau ilani yao
Hatuhitaji timu ya waropokaji kama nyie,timu yetu ndogo lakini habari yake kubwa!!!tukutane Oct 25