Madhumuni hasa ya UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) hayakuwa kushinda uchaguzi wa 2015 bali kushinikiza maoni ya wananchi kwenye rasimu ya Warioba kuheshimiwa. Kwahiyo Msingi mkuu wa UKAWA haukuwa kushinda uchaguzi bali katiba.
Kwa vile ushirikiano ule ulikuja 'by chance' bila wao kutegemea na kujipanga, ni muda mwafaka sasa kwa vyama vinavyounda UKAWA na vyama vingine vitakavyojiunga kuja na a strong 'Alliance' itakayokuwa na lengo la kushinda uchaguzi na kuunda serikali. Umoja huu uje na 'Memorandum Of Understanding' (MOU) ambao kila chama kitabidi kuuheshimu.
Lengo kuu liwe kushinda na kushika dola. Inawezekana, mbona Kenya, Ghana, Gambia wameweza kwani wao wana nini.
Mchakato uanze mapema mjuane tabia ili mamluki wajulikane mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho mkajikuta mnazoa na visivyozoleka. UKAWA mnatakiwa kutambua kuwa uchaguzi sio lelemama hasa unapotaka kumtoa mtu aliyepo madarakani kwa muda mrefu.
Umoja uwe na strategies za ushindi, kila chama kipewe malengo yake mahususi, kama ni kwenye stronghold yake mfano at least kishinde 50% kwenye serikali za mitaa.
Siyo vibaya hata jina la UKAWA likabadilishwa, lakini vilevile siyo mbaya likaendelea kwa vile limezoeleka.
Naomba kuwasilisha.
Kwa vile ushirikiano ule ulikuja 'by chance' bila wao kutegemea na kujipanga, ni muda mwafaka sasa kwa vyama vinavyounda UKAWA na vyama vingine vitakavyojiunga kuja na a strong 'Alliance' itakayokuwa na lengo la kushinda uchaguzi na kuunda serikali. Umoja huu uje na 'Memorandum Of Understanding' (MOU) ambao kila chama kitabidi kuuheshimu.
Lengo kuu liwe kushinda na kushika dola. Inawezekana, mbona Kenya, Ghana, Gambia wameweza kwani wao wana nini.
Mchakato uanze mapema mjuane tabia ili mamluki wajulikane mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho mkajikuta mnazoa na visivyozoleka. UKAWA mnatakiwa kutambua kuwa uchaguzi sio lelemama hasa unapotaka kumtoa mtu aliyepo madarakani kwa muda mrefu.
Umoja uwe na strategies za ushindi, kila chama kipewe malengo yake mahususi, kama ni kwenye stronghold yake mfano at least kishinde 50% kwenye serikali za mitaa.
Siyo vibaya hata jina la UKAWA likabadilishwa, lakini vilevile siyo mbaya likaendelea kwa vile limezoeleka.
Naomba kuwasilisha.