notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
WAKATI LEO 08/10/2014 rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akienda Dodoma kukabidhiwa katiba iliyopendekezwa na bunge maalum la katiba kupitia kwa mwenyekiti wake SAMWEL SITTA, kuna uongo,propaganda na upotoshaji mkubwa unaofanywa na wafuasi wa upinzani hususan ukawa kuhusu mutakabali wa matokeo ya kura ya maoni pindi muda wa kupiga kura husika utakapowadia.
Upotoshaji huu unafanywa na hawa watu kwa sababu labda hawajui historia ya visiwa hivi.. unguja na pemba au agenda binafsi zilizowagubika bila kujali maslahi ya taifa kwa ujumla wake.
Labda nianze kwa kifupi tuu kuwapa historia ya zanziba muda mfupi kabla ya mapinduzi, siku nne za mapinduzi na maisha baada ya mapinduzi. wakti wa utawala wa muingereza, zanzibar lilikuwa ni koloni la uingereza chini ya mamlaka ya sultani wa OMAN huku makao makuu ya sultanate hiyo yakiwa zanzibar.
Na kwa kipindi hicho kulikuwa na vyama vya kupigania uhuru ambavyo vilitofautiana sana mitazamo kiasi cha waoigania uhuru wengine wakiamini sultani na vibaraka wake ni wakazi halali na watawala halali wa zanzibar kutokana na historia ya urithi.
Na hivyo uhuru waliokuwa wanadai ni kutoka mikononi mwa waingereza huku wakiungwa mkono na sultani na waarabu.Moja kati ya vyama hivyo ni ZANZIBAR NATIONALIST PARTY(ZNP) ambacho kilikuwa kinajulikana kama HIZB na kiongozi wake alikuwa ni MOHAMMED SHAMTE.
Kwa ujumla hawa walikuwa ni waarabu na mabinamu zao huku wakimtukuza sultani na kujichukulia wao(waarabu) kama daraja la kwanza, mabinamu zao(machotara/wapemba) kama daraja la pili na waafrika kama daraja la tatu na la mwisho.
Hawa walikuwa radhi waendelee kubaki chini ya milki ya sultani milele na kuendelea kuwakandamiza waafrika weusi.IKUMBUKWE TU KUWA ZNP(HIZB) NDIO CHIMBUKO CUF na hata misimamo na malengo yao ni yaleyale kumuenzi sultani na kuwaangamiza waafrika weusi.
Aidha kulikuwa na chama kinachowasimamia waafrika na washirazi.hiki ni ASP-AFRO SHIRAZ PARTY. Hiki kilikuwa kinasimamia misingi ya usawa wa rangi zote na ukoloni walikuwa wanautafsiri kwa mapana zaidi.
Wao walikuwa wanaona muingereza ni mkoloni na sultani ni mkoloni vilevile na dhamira yao ilikuwa ni kuwaondoa woote tena kwa amani kabisa.Ikumbukwe tu kuwa ASP ndio chimbuko la CCM baada ya kuungana na TANU mwaka 1977.
Dhoruba kuu ilitokea pale palipoitishwa uchaguzi wa zanzibar ikiwa ni maandalizi ya kupewa uhuru toka kwa muingereza ambapo vyama vitatu ASP,ZNP na ZPPP(ZANZIBA AND PEMBA PEOPLE'S PARTY) vilipochuana katika uchaguzi mkuu na ASP kushinda ila ikiwa ni chini ya 50%.
Hapo ndipo ZPPP na ZNP zilipocheza mchezo mchafu kwa kushirikiana na sultani na kuunganisha kura zao kisha kutangazwa kama washindi na kukabidhiwa madaraka ya kuiongoza zanzibar huru chini ya SHAMTE.
Jambo hili liliwakatisha tamaa ASP NA KUPANGA NA KISHA KUAYATEKELEZA MAPINDUZI KWA MAUAJI YA HALAIKI (WATCH THE VIDEO) na hatimaye kumtimua sultani na hatimaye kuungana na tanganyika.
Kwa wale wajinga wasio fahamu visasi vilivyotunzwa tangu zama hizo hadi sasa na jinsi waarabu na wapemba wanavyotamani kupata nafasi ya kulipa kisasi, basi na waangalie hii video niliyoambatanisha muone jinsi ambavyo ilibaki kidogo kwa kizazi kizima cha waarabu na wapemba kifutwe kabisa katika ardhi ya zanzibar.
wanatafuta nafasi japo katu hatutawapa.
Mantiki ya andiko langu hili ni KUWAJIBU wale wanaojidanganya kuwa LINAPOKUJA SWALA LA ZANZIBAR eti WAZANZIBAR WOTE WANAUNGANA.Nasema hapana, nasema katu wazazibar waafrika waliojikomboa chini ya mapinduzi matakatifu hawawezi kuwa upande mmoja na wale walioapa kuyapinga mapinduzi hayo.
Nasema mapinduzi ya zanzibar yako mioyoni mwa wazanzibar waafrika na angamizo la mapinduzi hayo ni kiapo kilicho mioyoni mwa waarabu na binamu zao (wapemba.
Mapinduzi yale yaliratibiwa toka tanganyika na wapiganaji wengi walitoka tanganyika.
Vingozi wa mapinduzi(abdul rahman babu na abeid karume) waliyaratibu mapinduzi yale toka tanganyika na walikuwa na mawasiliano ya karibu sana na nyerere. hivyo basi kwa namna yoyote huwezi kuzitenganisha siasa za waafrika wa zanzibar na siasa za tanganyika(tanzania bara).
RAISI KIKWETE anaenda kukabidhiwa rasimu pendekezwa na baada ya hapo tuaingia kwenye referandum, wale wanaodhani huenda zanzibar katiba itakataliwa, basi nawapa pole.
Na walewazalendo wenye hofu labda safari hii waarabu na binamu zao watashinda dhidi ya wanamapinduzi, napenda niwahakikishie kuwa KAMWE HILO HALITATOKEA.
Kwenye kura ya maoni katiba itapita na hicho kikwazo kitasambaratishwa kama vilivyosambaratishwa vikwazo vingine vilivyokuwa vinaiandama mchakato mzima wa katiban na hii sio kwa ajili ya chama fulani au watu fulani bali ni kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.
Kamwe hatutawapa WAARABU NA BINAMU ZAO kuja kufanya mauaji ya halaiki kama vile walivyojiapiza.Jeshi la wananchi wa tanzania litakuwepo zanzibar kama lilivyo hivi sasa na hii haina tofauti na jinsi wamakonde,wazaramu, wasegeju,wanyamwezi na watanganyika wengine walivyojitolea kuiokomboa zanzibara toka mikononi mwa sultani.
Linapokuja suala la mustakabali wa taifa letu HUWA HATUCHEKI NA NYANI, TUSIJE KULA MABUA.
Upotoshaji huu unafanywa na hawa watu kwa sababu labda hawajui historia ya visiwa hivi.. unguja na pemba au agenda binafsi zilizowagubika bila kujali maslahi ya taifa kwa ujumla wake.
Labda nianze kwa kifupi tuu kuwapa historia ya zanziba muda mfupi kabla ya mapinduzi, siku nne za mapinduzi na maisha baada ya mapinduzi. wakti wa utawala wa muingereza, zanzibar lilikuwa ni koloni la uingereza chini ya mamlaka ya sultani wa OMAN huku makao makuu ya sultanate hiyo yakiwa zanzibar.
Na kwa kipindi hicho kulikuwa na vyama vya kupigania uhuru ambavyo vilitofautiana sana mitazamo kiasi cha waoigania uhuru wengine wakiamini sultani na vibaraka wake ni wakazi halali na watawala halali wa zanzibar kutokana na historia ya urithi.
Na hivyo uhuru waliokuwa wanadai ni kutoka mikononi mwa waingereza huku wakiungwa mkono na sultani na waarabu.Moja kati ya vyama hivyo ni ZANZIBAR NATIONALIST PARTY(ZNP) ambacho kilikuwa kinajulikana kama HIZB na kiongozi wake alikuwa ni MOHAMMED SHAMTE.
Kwa ujumla hawa walikuwa ni waarabu na mabinamu zao huku wakimtukuza sultani na kujichukulia wao(waarabu) kama daraja la kwanza, mabinamu zao(machotara/wapemba) kama daraja la pili na waafrika kama daraja la tatu na la mwisho.
Hawa walikuwa radhi waendelee kubaki chini ya milki ya sultani milele na kuendelea kuwakandamiza waafrika weusi.IKUMBUKWE TU KUWA ZNP(HIZB) NDIO CHIMBUKO CUF na hata misimamo na malengo yao ni yaleyale kumuenzi sultani na kuwaangamiza waafrika weusi.
Aidha kulikuwa na chama kinachowasimamia waafrika na washirazi.hiki ni ASP-AFRO SHIRAZ PARTY. Hiki kilikuwa kinasimamia misingi ya usawa wa rangi zote na ukoloni walikuwa wanautafsiri kwa mapana zaidi.
Wao walikuwa wanaona muingereza ni mkoloni na sultani ni mkoloni vilevile na dhamira yao ilikuwa ni kuwaondoa woote tena kwa amani kabisa.Ikumbukwe tu kuwa ASP ndio chimbuko la CCM baada ya kuungana na TANU mwaka 1977.
Dhoruba kuu ilitokea pale palipoitishwa uchaguzi wa zanzibar ikiwa ni maandalizi ya kupewa uhuru toka kwa muingereza ambapo vyama vitatu ASP,ZNP na ZPPP(ZANZIBA AND PEMBA PEOPLE'S PARTY) vilipochuana katika uchaguzi mkuu na ASP kushinda ila ikiwa ni chini ya 50%.
Hapo ndipo ZPPP na ZNP zilipocheza mchezo mchafu kwa kushirikiana na sultani na kuunganisha kura zao kisha kutangazwa kama washindi na kukabidhiwa madaraka ya kuiongoza zanzibar huru chini ya SHAMTE.
Jambo hili liliwakatisha tamaa ASP NA KUPANGA NA KISHA KUAYATEKELEZA MAPINDUZI KWA MAUAJI YA HALAIKI (WATCH THE VIDEO) na hatimaye kumtimua sultani na hatimaye kuungana na tanganyika.
Kwa wale wajinga wasio fahamu visasi vilivyotunzwa tangu zama hizo hadi sasa na jinsi waarabu na wapemba wanavyotamani kupata nafasi ya kulipa kisasi, basi na waangalie hii video niliyoambatanisha muone jinsi ambavyo ilibaki kidogo kwa kizazi kizima cha waarabu na wapemba kifutwe kabisa katika ardhi ya zanzibar.
wanatafuta nafasi japo katu hatutawapa.
Mantiki ya andiko langu hili ni KUWAJIBU wale wanaojidanganya kuwa LINAPOKUJA SWALA LA ZANZIBAR eti WAZANZIBAR WOTE WANAUNGANA.Nasema hapana, nasema katu wazazibar waafrika waliojikomboa chini ya mapinduzi matakatifu hawawezi kuwa upande mmoja na wale walioapa kuyapinga mapinduzi hayo.
Nasema mapinduzi ya zanzibar yako mioyoni mwa wazanzibar waafrika na angamizo la mapinduzi hayo ni kiapo kilicho mioyoni mwa waarabu na binamu zao (wapemba.
Mapinduzi yale yaliratibiwa toka tanganyika na wapiganaji wengi walitoka tanganyika.
Vingozi wa mapinduzi(abdul rahman babu na abeid karume) waliyaratibu mapinduzi yale toka tanganyika na walikuwa na mawasiliano ya karibu sana na nyerere. hivyo basi kwa namna yoyote huwezi kuzitenganisha siasa za waafrika wa zanzibar na siasa za tanganyika(tanzania bara).
RAISI KIKWETE anaenda kukabidhiwa rasimu pendekezwa na baada ya hapo tuaingia kwenye referandum, wale wanaodhani huenda zanzibar katiba itakataliwa, basi nawapa pole.
Na walewazalendo wenye hofu labda safari hii waarabu na binamu zao watashinda dhidi ya wanamapinduzi, napenda niwahakikishie kuwa KAMWE HILO HALITATOKEA.
Kwenye kura ya maoni katiba itapita na hicho kikwazo kitasambaratishwa kama vilivyosambaratishwa vikwazo vingine vilivyokuwa vinaiandama mchakato mzima wa katiban na hii sio kwa ajili ya chama fulani au watu fulani bali ni kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.
Kamwe hatutawapa WAARABU NA BINAMU ZAO kuja kufanya mauaji ya halaiki kama vile walivyojiapiza.Jeshi la wananchi wa tanzania litakuwepo zanzibar kama lilivyo hivi sasa na hii haina tofauti na jinsi wamakonde,wazaramu, wasegeju,wanyamwezi na watanganyika wengine walivyojitolea kuiokomboa zanzibara toka mikononi mwa sultani.
Linapokuja suala la mustakabali wa taifa letu HUWA HATUCHEKI NA NYANI, TUSIJE KULA MABUA.