Ukawa hatutashinda kwa njia hii

Ukawa hatutashinda kwa njia hii

Orpilis

Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
55
Reaction score
11
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu

ww ni ----- sana!
 
mkuu mbona kuna wakubwa wengine kama lissu baregu,safari,mwalimu,kabambi,marando lwakatare hawatoki huko.
 
Kweli wewe gamba mtaweweseka sana udini ukanda utawamaliza wenyewe
 
Unajifanya mwana CDM kumbe kiazi tu,hivi kitengo chenu cha propaganda kina watu kweli?Mjitathmini kila mbinu mnayofanya kama inaleta positive impact,mtaani ndiyo kipimo cha mbinu zenu watu wanamatumaini na ukawa,kama kina nepi ndo wataalamu wenu wa propaganda basi mjipange.Najua wengi wenu mnatetea ili mpishane kuelekea chooni ila nafsi zenu zinajua ukweli kwamba kijani na manjano hamna chenu huku SITE!
 
Kwani kaskazini ni tusi????
 
moderators wakiuacha huu uzi basi kina lipumba ni wengi
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu
Napenda mabadiriko, lakini hilo ulilosema ni kweli. Watu twajifanya hatulioni. Tutakuwa kama Kenya...
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu

Mbona karibu viongozi wengi wa CCM ni waislam ina maana hiki chama ni cha kiislam?
 
mkuu mbona kuna wakubwa wengine kama lissu baregu,safari,mwalimu,kabambi,marando lwakatare hawatoki huko.

Hawa hawana sauti kwenye chama, hawa ni watu wa kutumwa tu na kuchezeshwa kwata staili wanayotaka wakubwa halisia.
 
Huwezi kuwadanganya wana ukawa wewe ccm hata usemi wako unathibisha
 
Tulikua katika mchakato mzuri wakuchuadola kwa safu yetu nzuri.Lakini walipokuja hawa wageni wametuvuruga tumeona Chama kumbe ni chakaskazini.wakubwa wote wanatoka huko Mtei,Ndesamburo,Lowasa,Mbowe Slaa,mdee Komu naomba viongozi walione hilo vinginevyo kweli itatugharimu


Ukifkisha umri wa miaka 18 ntakuelezea madhara ya kuwategemea watu wenye IQ ndogo kama yako
 
Back
Top Bottom