sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,236
Yani suala la kusema tu hapo mbele msisukumane, anaona suluhisho ni police. Yaani Samia ana kiburi kikali sana kilichochanganyika na unafiki, akiongea utadhani mwema, yaani anahisi kuwa yeye ni mtu special sana, and nothing come close to her.
Si ajabu aliechoma picha yake haonekani.
Mungu nipe umri mrefu wa kumshuhudia Samia akiwa powerless.
Si ajabu aliechoma picha yake haonekani.
Mungu nipe umri mrefu wa kumshuhudia Samia akiwa powerless.