View attachment 98427Majitu kama chagonja wana roho kama masokwe
acheni ujinga nyie hii nchi ni ya kila mtanzania changoja ndo nani ktk nchi hii yenye watu zaid ya million 50 mpka amnyime mtoto haki yake
View attachment 98427Majitu kama chagonja wana roho kama masokwe
Polisi kwa nini mnanilazimisha kuwachukia hata ndugu zangu ambao ni askari?!!!!! I hate polisi'
swali la kujiuliza, hivi kweli mama mwenye mtoto, unatoka wapi kwenye maandamano??
huyu jamaa ndio nani vile....................?View attachment 98427Majitu kama chagonja wana roho kama masokwe
ndio akina nani hao!?Hii sasa ni kufuru katika ukiukaji wa haki za binadamu. Ni vema sasa viongozi wa nchi wakatathmini namna vyombo vya dola vinavyoendehwa na watu waliowapa dhamana na kujirekebisha. Hii itaichafua sana serikali, wakati labda ni mtu mmoja tu aliyetoa amri hiyo ya kipuuzi.
View attachment 98427majitu kama chagonja wana roho kama masokwe
Huu ni ukatili na unyanyasi dhidi ya watoto, tena kitoto kichanga cha miezi miwili!
Wana Jf kama mnavyokumbuka jana Mbunge Joyce Mukya alikamatwa na polisi katika vurugu zilizotokea jana, akiwa pamoja na wabunge wengine watatu Tundu Lissu, Said Arfi na Mustapha Akonaay.
Joyce Mukya aliletewa mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili ili akamnyonyeshe, Polisi wakakataa wakasema hatamnyonyesha, na kweli mtoto hakunyonyeshwa mpaka hivi tunavyoongea, tokea Mh. Joyce akamtwe jana na polisi!
Inasikitisha, inasononesha kwa kila binadamu mwenye moyo wa utu kuona haya yanatokea. Sijui kwanini jeshi letu linatumika kunyanyasa raia hasa watoto.
Polisi wanamnyima mtoto mdogo asinyonye maziwa ya mama, kana kwamba wao hawakuzaliwa na mama na hawajawahi kunyonya.
Mambo mengine ndugu zangu tuweke siasa pembeni, polisi wetu watangulize utu mbele.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unamnyima mtoto maziwa ya Mama??? Kweli??? Wazee hii mbaya acheni bwana.
hivi TAMWA na TGNP kazi yao nini?
pum***vu sana alikua anaandamana au alikuwa anaaga marehemu kama nyinyi ambavyo huwa mnaaga wakwenu?mijitu mingine bwana shkuru jf hai2oneshi mnapopatikana watu kama wewe maana tukianza kuwaondoa nninyi mafanikio yataonekana tumalizie na wakubwa wenuswali la kujiuliza, hivi kweli mama mwenye mtoto, unatoka wapi kwenye maandamano??
swali la kujiuliza, hivi kweli mama mwenye mtoto, unatoka wapi kwenye maandamano??
Huu ni ukatili na unyanyasi dhidi ya watoto, tena kitoto kichanga cha miezi miwili!
Wana Jf kama mnavyokumbuka jana Mbunge Joyce Mukya alikamatwa na polisi katika vurugu zilizotokea jana, akiwa pamoja na wabunge wengine watatu Tundu Lissu, Said Arfi na Mustapha Akonaay.
Joyce Mukya aliletewa mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili ili akamnyonyeshe, Polisi wakakataa wakasema hatamnyonyesha, na kweli mtoto hakunyonyeshwa mpaka hivi tunavyoongea, tokea Mh. Joyce akamtwe jana na polisi!
Inasikitisha, inasononesha kwa kila binadamu mwenye moyo wa utu kuona haya yanatokea. Sijui kwanini jeshi letu linatumika kunyanyasa raia hasa watoto.
Polisi wanamnyima mtoto mdogo asinyonye maziwa ya mama, kana kwamba wao hawakuzaliwa na mama na hawajawahi kunyonya.
Mambo mengine ndugu zangu tuweke siasa pembeni, polisi wetu watangulize utu mbele.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums