Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
bora angechoma mke mwenzie
Pu.mbavuu huyo mwanamke hakuumwa uchungu
Umeona sasa mlivyo wanyama mademu.
Whaat mtoto wangu mimii hata angeiba laki hata awe wa jirani siwezi muumiza hiv kuna njia za kumuadhibu mtoto sio hivii bora angechoma mke mwenzie
Pu.mbavuu huyo mwanamke hakuumwa uchungu
Mi mke mwenza naweza hata muua ila mtoto wake hapana au wangu noooo
Mi mke mwenza naweza hata muua ila mtoto wake hapana au wangu noooo
Kwani mke mwenza ana mazara gani mpaka umuue wakati mnashea dushelee na anakupunguzia usumbufu kwa mzee.
Inasikitisha sana,kitoto kizuri,unakipa ulemavu,usio wa lazima.
Mtoto samweli mwenye umri WA miaka 13 mwanafunzi WA darasa la 4 katika shule ya msingi Amani ilala DSM amejikuta katika maumivu makubwa baada ya kuchomwa moto baada ya kumwagiwa mafuta ya taà na kisha kuwashwa na kiberiti na mama yake mzazi kwa tuhuma za kuiba shilingi elfu kumi (10000).
Kwa Sasa kijana huyu yupo hospitali huku mama akiwa chini ya POLISI kituo cha staki shari kemea ukatili kwa kuwa mmoja WA wanaolani vitendo hivi.
Whaat mtoto wangu mimii hata angeiba laki hata awe wa jirani siwezi muumiza hiv kuna njia za kumuadhibu mtoto sio hivii bora angechoma mke mwenzie
Pu.mbavuu huyo mwanamke hakuumwa uchungu
Mtoto samweli mwenye umri WA miaka 13 mwanafunzi WA darasa la 4 katika shule ya msingi Amani ilala DSM amejikuta katika maumivu makubwa baada ya kuchomwa moto baada ya kumwagiwa mafuta ya taà na kisha kuwashwa na kiberiti na mama yake mzazi kwa tuhuma za kuiba shilingi elfu kumi (10000).
Kwa Sasa kijana huyu yupo hospitali huku mama akiwa chini ya POLISI kituo cha staki shari kemea ukatili kwa kuwa mmoja WA wanaolani vitendo hivi.