Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,267
- 33,039
Mtoto samweli mwenye umri WA miaka 13 mwanafunzi WA darasa la 4 katika shule ya msingi Amani ilala DSM amejikuta katika maumivu makubwa baada ya kuchomwa moto baada ya kumwagiwa mafuta ya taà na kisha kuwashwa na kiberiti na mama yake mzazi kwa tuhuma za kuiba shilingi elfu kumi (10000).
Kwa Sasa kijana huyu yupo hospitali huku mama akiwa chini ya POLISI kituo cha staki shari kemea ukatili kwa kuwa mmoja WA wanaolani vitendo hivi.