Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
Komredi nimekugongea senks
Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
Washenzi hawa, hamna lolote zaidi ya kuonea Wanyonge.
Kama mna ubavu si mkamtwange Rostam Azziz au Lowassa?
Kuna mama Mkapa pale anadunda na Wahindi kibao wakiwa na pesa za EPA.
Mramba na kundi lake wapo tu. Chenge ndiyo kwanza anagonga dada zenu na mnamchekea.
Mnakuja kupiga mawe Kibaka aliyelala njaa jana. Hamna maana kabisa. Si usiku mtoke mpambane na Majambazi?
Au mkisikia cha moto Mnazifyata? Kunguru Dume nyie.......
Si ajabu kama si akina Lowassa na CCM kumpe njaa kijana, asingeliiba. Mnaadhibu siye. Mnakata Majani na si Mzizi.