papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Kweli hili linazidi kudhihirisha UKWELI wa Uislam, moja kati ya mafunzo ya Mtume Mohammad (s.a.w) amesama watakuja watu siku za baadae ambao wawo watakua ni WATU wa MOTONI watu hawa watakua na fimbo mikononi mwao za urefu kama mikia ya nyumbu KAZI zao zitukua ni KUWAPIGA WATU kwa UONEVU pasina kuangalia( mtoto wala mkubwa) basi eleweni ya kuwa makazi ya watu hawa ni JAHANAMA.