Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Mkono wa mtoto Clement unavyoonekana baada ya kuunguzwa na mama yake mzazi kwa kisa cha kuiba mkate.
Kiukweli mi sina lakusema kuhusiana na hili, kwa maana mpaka sasa najiuliza inakuwaje mzazi unaamua kumfanyia mtoto tena wakumzaa mwenyewe ukatiri wa dizani hii na kumpa mtoto kilema cha makusudi bila hata ya huruma, bila kupata majibu.
Kiukweli mi sina lakusema kuhusiana na hili, kwa maana mpaka sasa najiuliza inakuwaje mzazi unaamua kumfanyia mtoto tena wakumzaa mwenyewe ukatiri wa dizani hii na kumpa mtoto kilema cha makusudi bila hata ya huruma, bila kupata majibu.