mkuu preta unamshauri amtafune kwani jamaa anakula watu?
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Fi....uni...Oa nawewe halafu mi niwe nampa nkeo lifti uone uchungu wake,nashangaa haya mambo umeyaleta huku huu ni umbeya,kipi kimekuuma,huu ni uamzi wangu binafsi
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
Wewe acronomy ni mtu wa ajabu sana jamaa kachukua maamuzi kuhusu familia yake wewe unakuja kulialia hapa.
Pole sana , ila kwa ushauri mzuri wa bure , nakushauri uhame hiyo nyumba kabisa ,, sio pahala pazuri tena kukaa hapo
Hukutakiwa kuja huku mkuu besides ulitakiwa mkutane na jamaa falagha umueleze uhalisia kwamba you consider him like a real bloodbrother to the extent that wont dare ruining his marriage by any means. Hapo kidogo ingempunguzia doubt juu yako.
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
Huu ni ushauri wa kitoto, acha mambo ya GF na BF, hapa suala hili linahusu mke wa mtu hivyo usichukulie simple kana kwamba ni lovers tu. Marriage needs seriousness!
Anwambie ivyo wakati jamaa hajaweka sababu za maamuzi yake hayo bayana. si atakuwa anajipalia makaa ya mawe ya moto. Hahahahaaaaa
Una gari, hongera....
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
Binamu bhana.....
tatizo nini binamu...?
Hii ndio JF bana.........karibu sana..........