WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Ndugu zangu,
Mimi nimezaliwa na kukulia kanda ya ziwa (Bukoba) ambapo RADI wakati wa mvua hata kama ni mvua wenyewe ni kidogo radi ni lazima. Nilipokuja Dar es salaam mwaka 1996 sikuwahi kusikia wala kuona radi wakati au kabla ya mvua kunyesha. Pamoja na kuuliza kwa watu wengi, hakuna mwenye jibu la uhakika au linalojitoshereza la kwanini Dar es salaam hapakuwepo na radi kupindi cha nyuma.
Baada ya mvua ya juzi iliyoambatana na radi nilistahajabu na kumuliza mama mmoja ambaye alinipa majibu haya;
Mwanangu ..... "Ukanda huu wa pwani ikiwa ni pamoja na Dar es salaam hauna miinuko, mawe na miamba mingi ndiyo maana hakuna radi" Angalia mikoa yenye miinuko na mawe kwa wingi (Mwanza, Msoma, Kagera, Morogoro, Songea, Mbeya, Iringa n.k) huko ndiko radi zinatokea kwa wingi.
Je mama huyu alikuwa sahihi? au ni sababu zipi za kisayansi zinazosababisha radi itokee sehemu furani na sehemu nyingine isitokee?
Nawakilisha
Mimi nimezaliwa na kukulia kanda ya ziwa (Bukoba) ambapo RADI wakati wa mvua hata kama ni mvua wenyewe ni kidogo radi ni lazima. Nilipokuja Dar es salaam mwaka 1996 sikuwahi kusikia wala kuona radi wakati au kabla ya mvua kunyesha. Pamoja na kuuliza kwa watu wengi, hakuna mwenye jibu la uhakika au linalojitoshereza la kwanini Dar es salaam hapakuwepo na radi kupindi cha nyuma.
Baada ya mvua ya juzi iliyoambatana na radi nilistahajabu na kumuliza mama mmoja ambaye alinipa majibu haya;
Mwanangu ..... "Ukanda huu wa pwani ikiwa ni pamoja na Dar es salaam hauna miinuko, mawe na miamba mingi ndiyo maana hakuna radi" Angalia mikoa yenye miinuko na mawe kwa wingi (Mwanza, Msoma, Kagera, Morogoro, Songea, Mbeya, Iringa n.k) huko ndiko radi zinatokea kwa wingi.
Je mama huyu alikuwa sahihi? au ni sababu zipi za kisayansi zinazosababisha radi itokee sehemu furani na sehemu nyingine isitokee?
Nawakilisha