Ukali wa mwanaume hudumisha ndoa?

Ukali wa mwanaume hudumisha ndoa?

Hakuna asiyetaka uhuru (liberty) ila kama hujui ni kwamba MUNGU alisalitiwa na shetani na binadamu kwa sabb ya Liberty,
kama kuna ndoa inayotoka kwa MUNGU basi ni ile ambayo mwanamke anamuheshimu mumewe, na mwanamume anampenda mkewe yaaani hayo tuu inatosha

Na hii ndoa ndio haina ukali ni watu wanaheshimiana na upendo na kusikilizana kwa upendo sio ndoa za kama amiri jeshi mkuu na makuruta wake mpk unaishi kwa uoga
 
Duh Kama kipigo cha wazazi na walimu wake akikumsaidia mpaka unamuoa unategemea kipigochako kitasaidia?
Nina ndugu wa karibu alikuwa anapiga mke wake Sana mwisho arimfia mikononi na jamaa yuko jela mwaka wa 4 huu
Kama maneno hayata mfunza ni bora nivunje ndoa tu
KWANI TUNAOA KUJA KUWAFUNDISHA AU.
Huyo jamaa mkurya nini??
 
Na hii ndoa ndio haina ukali ni watu wanaheshimiana na upendo na kusikilizana kwa upendo sio ndoa za kama amiri jeshi mkuu na makuruta wake mpk unaishi kwa uoga[/QUOTE

yaani watu hulewa liberty ndo mana kuna muda mtu anakuwa mkali ila si kwamba anakuwa anapenda
 
Naunga mkono huja , nimekua mkali sna katika mahusiano yaan mwanamke kunifanyia ujinga ni adimu sna ila afki zangu wanaojifanya wapole wapole mno kila sku wanafanyiwa madudu ya ajabu na wanawake zao
 
Ukali unaweza kufanya ukimbiwe na mwanamke acha kujidanganya mkuu
sio ukali mda wote mapenz yanakuepo kama kawaida sema kuna mda ujinga ukifanyika unakua seriuz
 
Mtoa mada hebu mfanyie utafiti huyo binti,anamuogopa mumewe kwa ukali au kwa kuwa yeye ni tegemezi?
tunafanya nae kaz so siez kusema yy ni tegemez kwa 100% ila sijui maana hawa dada zetu anaeza kua na mshahara na bado show zote ukasimamia ww
 
Duh Kama kipigo cha wazazi na walimu wake akikumsaidia mpaka unamuoa unategemea kipigochako kitasaidia?
Nina ndugu wa karibu alikuwa anapiga mke wake Sana mwisho arimfia mikononi na jamaa yuko jela mwaka wa 4 huu
Kama maneno hayata mfunza ni bora nivunje ndoa tu
KWANI TUNAOA KUJA KUWAFUNDISHA AU.
vipigo tunavovisema hapa ni kakofi kamoja sio unapiga kama unaua mwiz alafu kila siku
kuna watt wanawafia wazazi wao akat wanaadhibiwa hii haizuii wazaz wengne kuadhibu watt wao sema unatafuta namna sahh
 
Jamani yani tuadhibiwe km watoto? Nikikosa nielekeze kwa upendo uone kama nitakosea tena. Zama za kupigana zimepitwa na wakati, panga mipango na mkeo pia wote muombe kwa ajili ya ndoa yenu.
 
Usiwe mkali kupitiliza,
1. atauzoea ukali wako na atatafuta mianya kwenye mapungufu

2. Unaweza kukosa taarifa/ujumbe au kitu muhimu kutoka kwa mkeo sababu ya ukali wako.

Mwanaume usiwe mkali, kuwa na msimamo.
Akizinguwa MAKOFI...tena sio makofi matupu...ni kama napigana na DUME...ksho akikuongea nae akikuona unaamka yeye anakaa chini...kimya...bila MITAMA NA MAKOFI hawaendi hawa
 
Mleta mada umenena!!!
Mwanamke bado anahitaji kupendwa, kusimamiwa, kuelekezwa na pia kuadhibiwa anapokosea.
Tena hakuna penzi tamu kwa mwanamke kama penzi la msamaha .....yaani umemtia makofi,kalia wee,,, halafu mnabembelezana...sasa mvae kama HUJAAMSHA wtoto kwa kelele za mahaba
 
Naona watu mnachanganya UKALI na MSIMAMO. Mwanaume lazima uwe na Msimamo kwenye kila kitu kwa kuwa wewe ndo kichwa cha familia. Mwanamke anatakiwa awe anatoa taarifa (aombe ruhusa na kukubaliwa) kwa kila jambo ambalo lipo nje ya msimamo wa mume wake. Otherwise she'll be welcoming unnecessary problems.
Msimamo ni baada ya kuchukuwa hatua. ..msimamo bila ukali haukusaidii kitu mkuu...mfano karudi saa tano usiku kalewa....wewe utaonyesha msimamo gani? Zaidi ya makofi?sasa ukiamua kuhama kitanda ukalala chini ndy DUME BWEGE lenyewe tunalozungumzia hapa..
 
Ukali uwepo lakini usizidi kwenye kumpiga mkeo sio kitukizuri.
 
Back
Top Bottom