mwerevu mwenye busara
Senior Member
- Oct 23, 2016
- 144
- 93
CjakuelewA hapo mkuu nani nyani na yupi mvunaji?Ukicheka na nyani unavuna mabua
Wanawake sio watu wazuri
CjakuelewA hapo mkuu nani nyani na yupi mvunaji?Ukicheka na nyani unavuna mabua
Wanawake sio watu wazuri
Hahhaa afu wanaume wengi wanaopigwa ndo Ndoa zao zinadumu kweliHata nyie mkileta maujinga ujinga kuna umuhimu wa kupigwa mara moja moja, inasaidia sana.
Wapi Heaven Sent unaukumbuka ule uzi mama?
yap hapo umenenaIshi nae kwa akili sana
Najua namna ya kuipa kipaumbele sauti ya mume wangu!wadada kumbe pia hua mnalielewa hili
Hainamaan maan ukali kama unavofikiri ww ati ubabe, .maan ya ukali wa mwanaume ni kuwa na msimamo dhabiti mke asikuyumbishe na akijaribu tu usimlazie damuukali haufanyi ndo idumu,ila unafanya ndoa iwe imejaa unafiki wa kutosha
wanawake wanapenda mwanaume wanaoprove kwa matendo yao kwamba wao ni wanaume na sio kwa maneno au ubabe usio na kichwa wala miguu
Wanawake wana akili za kutulia kivipi????Atashindwaje kukuzoea wakati mnalala naye kitanda kimoja hadi kuvuliana nguo?
Nikwambie hata u-ect vipi, lakini wanawake Mola kawajalia akili za kutulia, ni lazima akuzoee na akuelewe hadi pumzi zako zinapoishia.
Kikubwa mapenzi na maelewano.
Sijui ugangwegangwe, tena wakujifunzia jf, atakukimbia ubaki ukihangaika na msururu wako wa watoto.
Akili za kuambiwa, changanya na zako kutokana na mazingira ya mwanamke mwenyewe.
Heaven huwa unampiga mumeo???Hahhaa afu wanaume wengi wanaopigwa ndo Ndoa zao zinadumu kweli
dawa ni kubuni system kila kosa na adhabu yake, orodhesha possible mistakes tengeneza guidelines ambayo yeye mwenyewe akikosea anareffer. kama kuchelewa zaidi ya saa 12 bila sababu adhabu yake ijulikane na makosa yakizidi 76% kwa mwaka kulingana na mwongozo adhabu yake naoa mke wa pili.

Eeeh mpendwa, mimi ni mnyakyusa, mabanzi siku moja moja sio mbayaHeaven huwa unampiga mumeo???