jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
hahahahahahah sasa tuwazoee kina nani?Mi nachojua mwanamke akikuzoea utapata shida
Jf bhana ni tabu tupuuuu
hahahahahahah sasa tuwazoee kina nani?Mi nachojua mwanamke akikuzoea utapata shida
Bado sio mkali huyo...mkali means ni makofi,vichwa,ngumi...mitama pia imo...tena popote hata barabari km akikuona haongozi nyumbani..na akifika huko makofi tena....na akirudia rudia Fukuza kabisa. ..uone kama ndugu wakimuombea msamaha atarudia tena...sasa ww mke unampiga na khanga au mto ndy ukali huo mkuu?Mi nna jamaa anamega mke wa mshkaji hivi jamaa mkali balaa huwa anapiga mke wake mpaka na viboko. Ninavyoandika ujumbe huu anamega
Mtoa mada kauliza swali!!Nipo upande wa mtoa mada
Kuna Kimanka changu huwa nikikizingua, kinalia afu kinaomba msamaha mwenyewe.Usiwe mkali kupitiliza wala usiwe mpole kupitiliza
Kanuni ya KIASI!Usiwe mkali kupitiliza wala usiwe mpole kupitiliza
Hapo kwenye kupiga sio kitu kizuri..ndy afate sheria na katiba za ndoa yetuUkali uwepo lakini usizidi kwenye kumpiga mkeo sio kitukizuri.
Hawa wanawake wa haki sawa unapiga kofi anarudisha unazani utaishia kofi au utakunja ngumi hasira ukisha iruhusu utajua hasara zake tusidanganyanevipigo tunavovisema hapa ni kakofi kamoja sio unapiga kama unaua mwiz alafu kila siku
kuna watt wanawafia wazazi wao akat wanaadhibiwa hii haizuii wazaz wengne kuadhibu watt wao sema unatafuta namna sahh
Punda angekua mnyama mwenye adabu kuliko wanyama wote Kama kipigo kinafundishaBado sio mkali huyo...mkali means ni makofi,vichwa,ngumi...mitama pia imo...tena popote hata barabari km akikuona haongozi nyumbani..na akifika huko makofi tena....na akirudia rudia Fukuza kabisa. ..uone kama ndugu wakimuombea msamaha atarudia tena...sasa ww mke unampiga na khanga au mto ndy ukali huo mkuu?
Hivi punda nae ana akili timamu kama binadamu?Punda angekua mnyama mwenye adabu kuliko wanyama wote Kama kipigo kinafundisha
acha kujifanya uelewi mbwa wa polisi wanafundishwa awapigwi na wanaelewa na wanafanya nao utauriza wana akili timamuHivi punda nae ana akili timamu kama binadamu?
Ha haa hata mie ningelia sio kwa mkwara huo lolKuna Kimanka changu huwa nikikizingua, kinalia afu kinaomba msamaha mwenyewe.
Namwambia kwa huu mwili unavyouona nikikutia kofi basi wewe ni kuonana na Yesu huko juu.
Basi akiona nimemtolea macho anakuwa mnyonge na kuanza kuliaa.
hahaha
Mwanaume ujiweze bhana
Atashindwaje kukuzoea wakati mnalala naye kitanda kimoja hadi kuvuliana nguo?Mi nachojua mwanamke akikuzoea utapata shida
Msimamo ndo kitu cha kwanza kwa mwanaume/kiongozi yeyote. Even kwa wanyama nao wanazingatia sana misimamo yao. Laziwa uweke wazi misimamo yako tangu siku ya kwanza kabisa kufahamiana na mwenza wako. Mwanaume ndo anadetermine RULES OF THE GAME. Ukimwambia mwisho wa kurudi nyumbani ni saa 12 jioni lazima iwe hivyo. Ukali unafuata baada ya mhusika kushindwa kufuata rules zako ulizomuwekea. Kwa mfano, Wifi yako nimeshamkataza kupandisha wanaume anaowaita 'rafiki zake' kwenye gari letu, so siku akienda against na msimamo huo ataona dunia chungu (ndo ukali unapokuja sasa). Huwezi kuwa mkali bila kuwa na Grounds za kusimamia.Msimamo ni baada ya kuchukuwa hatua. ..msimamo bila ukali haukusaidii kitu mkuu...mfano karudi saa tano usiku kalewa....wewe utaonyesha msimamo gani? Zaidi ya makofi?sasa ukiamua kuhama kitanda ukalala chini ndy DUME BWEGE lenyewe tunalozungumzia hapa..
sawaMtoa mada kauliza swali!!
Hana upande
Mkuu navyokwambia ndo hvyo ukimfanya akuone kama toy mfanye tu utajuta akili zao wanazijua wenyewe labda upate mke anaemia uanamke wakeHivi mwanamke unaye mwaka wa 10 bado hajakuzoea tu? Mwanamke unapaswa uwe rafiki yko...ila unakuwa kama SAA MBOVU VILE...hukawii kubadilika
Ishi nae kwa akili sanahahahahahahah sasa tuwazoee kina nani?
Jf bhana ni tabu tupuuuu
Kama wewe ambavyo huelewi akili zao zilivyo vivyo hvyo hata kwako inabidi asikuelewe sometym akili zako zilivyoAtashindwaje kukuzoea wakati mnalala naye kitanda kimoja hadi kuvuliana nguo?
Nikwambie hata u-ect vipi, lakini wanawake Mola kawajalia akili za kutulia, ni lazima akuzoee na akuelewe hadi pumzi zako zinapoishia.
Kikubwa mapenzi na maelewano.
Sijui ugangwegangwe, tena wakujifunzia jf, atakukimbia ubaki ukihangaika na msururu wako wa watoto.
Akili za kuambiwa, changanya na zako kutokana na mazingira ya mwanamke mwenyewe.
Mkuu huyo mke ni mzinzi tuu..havihusiani na ukali wa mumewe...Mi nna jamaa anamega mke wa mshkaji hivi jamaa mkali balaa huwa anapiga mke wake mpaka na viboko. Ninavyoandika ujumbe huu anamega