dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,065
Habari yenu wana MMU wote,
Niende kwenye mada ya leo, kuna kitu nimekinotice kwa walio kwenye ndoa nilikaa na binti flani hivi ameolewa(sina mahusiano nae lakini) kuna kazi tulikua tukiimalizia mda ukawa umekwenda mno sasa yule binti akaanza kuogopa kuchelewa sababu ya ukali wa mumewe mpaka nikamuonea huruma ikabidi nimruhusu kazi yote niimalizie mimi.
Sio huyo tu wapo wengi sana wanaogopa kufanya makosa coz ya kuogopa ukorofi wa wanaume wao na wengi nnaopiga nao story wanakiri wanaume wapole ndo rahisi kusalitiwa coz ya kuwapa uhuru sana coz wanawake hawahitaji mume tu wanaitaji pia mtu awe kama baba yao kuwa adhibu wanapokosea wakaeka reference ya ile picha ya wanaume tunatakiwa tuwapige wake zetu hata mara moja kwa mwezi ili ndoa zidumu.
Ingawa wanawake wengi wanajaribu kulipinga hili but ndo ukweli ili ndoa idumu mwanaume inabidi ujitofautishe na mwanamke usiruhusu upuuzi wa kijinga jinga hapa sina maana usimpende mkeo wewe mpende kama kawaida ila akifanya ujinga unabadilika.
Niende kwenye mada ya leo, kuna kitu nimekinotice kwa walio kwenye ndoa nilikaa na binti flani hivi ameolewa(sina mahusiano nae lakini) kuna kazi tulikua tukiimalizia mda ukawa umekwenda mno sasa yule binti akaanza kuogopa kuchelewa sababu ya ukali wa mumewe mpaka nikamuonea huruma ikabidi nimruhusu kazi yote niimalizie mimi.
Sio huyo tu wapo wengi sana wanaogopa kufanya makosa coz ya kuogopa ukorofi wa wanaume wao na wengi nnaopiga nao story wanakiri wanaume wapole ndo rahisi kusalitiwa coz ya kuwapa uhuru sana coz wanawake hawahitaji mume tu wanaitaji pia mtu awe kama baba yao kuwa adhibu wanapokosea wakaeka reference ya ile picha ya wanaume tunatakiwa tuwapige wake zetu hata mara moja kwa mwezi ili ndoa zidumu.
Ingawa wanawake wengi wanajaribu kulipinga hili but ndo ukweli ili ndoa idumu mwanaume inabidi ujitofautishe na mwanamke usiruhusu upuuzi wa kijinga jinga hapa sina maana usimpende mkeo wewe mpende kama kawaida ila akifanya ujinga unabadilika.