Ukali wa mwanaume hudumisha ndoa?

Ukali wa mwanaume hudumisha ndoa?

dedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
1,507
Reaction score
2,065
Habari yenu wana MMU wote,

Niende kwenye mada ya leo, kuna kitu nimekinotice kwa walio kwenye ndoa nilikaa na binti flani hivi ameolewa(sina mahusiano nae lakini) kuna kazi tulikua tukiimalizia mda ukawa umekwenda mno sasa yule binti akaanza kuogopa kuchelewa sababu ya ukali wa mumewe mpaka nikamuonea huruma ikabidi nimruhusu kazi yote niimalizie mimi.

Sio huyo tu wapo wengi sana wanaogopa kufanya makosa coz ya kuogopa ukorofi wa wanaume wao na wengi nnaopiga nao story wanakiri wanaume wapole ndo rahisi kusalitiwa coz ya kuwapa uhuru sana coz wanawake hawahitaji mume tu wanaitaji pia mtu awe kama baba yao kuwa adhibu wanapokosea wakaeka reference ya ile picha ya wanaume tunatakiwa tuwapige wake zetu hata mara moja kwa mwezi ili ndoa zidumu.

Ingawa wanawake wengi wanajaribu kulipinga hili but ndo ukweli ili ndoa idumu mwanaume inabidi ujitofautishe na mwanamke usiruhusu upuuzi wa kijinga jinga hapa sina maana usimpende mkeo wewe mpende kama kawaida ila akifanya ujinga unabadilika.
 
Chunguza sn ndoa nyingi mwanaume mkali hakai na mke...ila ukiona ndoa imedumu sn ujuwe mume ni BWEGE...hana sauti kwa mkewe....hilo ni PROVED..
 
Usiwe mkali kupitiliza,
1. atauzoea ukali wako na atatafuta mianya kwenye mapungufu

2. Unaweza kukosa taarifa/ujumbe au kitu muhimu kutoka kwa mkeo sababu ya ukali wako.

Mwanaume usiwe mkali, kuwa na msimamo.
 
Mi nachojua mwanamke akikuzoea utapata shida
 
ukali haufanyi ndo idumu,ila unafanya ndoa iwe imejaa unafiki wa kutosha

wanawake wanapenda mwanaume wanaoprove kwa matendo yao kwamba wao ni wanaume na sio kwa maneno au ubabe usio na kichwa wala miguu
 
Naona watu mnachanganya UKALI na MSIMAMO. Mwanaume lazima uwe na Msimamo kwenye kila kitu kwa kuwa wewe ndo kichwa cha familia. Mwanamke anatakiwa awe anatoa taarifa (aombe ruhusa na kukubaliwa) kwa kila jambo ambalo lipo nje ya msimamo wa mume wake. Otherwise she'll be welcoming unnecessary problems.
 
Ukicheka na Ngedere shambani utavuna mabua
Go easy on them and you will regret, hao ni viumbe wanaojisahau sana.U must put pressure on them.
 
Kuwa mkali katk mambo ya msingi ukiwa bwege wakupokea kila jambo anapokosea unakwambia unamuelew bila kumkazia itakula kwako
Kwakuwa atafanya jambo makusudi akijua atakuja kukwambia ukamuelewa..
 
inategemea, lkn pia ni kweri mwanamke unaisha mwaka hata kumbadirishia sura kidgo na kofi moja huwa wanaona mko sawa.

mwanamke anatakiwa akuone mtu usietabirika...dakika tatu mbele,

hatupendi upuuzi.
Hahaaaa naunga mkono hoja
 
Pamoja na uwepo wa Demokrasia katika ndoa ila usiruhusu mwanaume awe na sauti ndogo au sawa na mwanamke
 
Back
Top Bottom