Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Alikuwa anajenga huyo
 
Wahalalishe tuu hiyo biashara ilipiwe kodi, nchi nyingi mfano senegal zmefanya hvo. Bila hvo haitakuwa biashara salama kamwe, wazo tuu hlo
 
Msamvu na Kahumba ndio sehemu maarufu kwa biashara ya K mkoa wa Morogo nikiwa first year SUA nilikuwa na kampani kubwa ya kuhudhuria Kahumba hii ilikuwa baada ya kuambiwa kuwa Chuoni kuna watoto wa Mama Salma wengi sana.
 
Kwa tulipofikia ni ngumu kuzuia ukahaba nchini hasa kwa kutumia nguvu... Suala hili ni mtambuka linahitaj sera na mipango ya muda mrefu na si kukurupuka tu na kuwakamata kisha ata sheria za kuwashtak hauna inakulazimu uwaachie tu...
 
Msamvu na Kahumba ndio sehemu maarufu kwa biashara ya K mkoa wa Morogo nikiwa first year SUA nilikuwa na kampani kubwa ya kuhudhuria Kahumba hii ilikuwa baada ya kuambiwa kuwa Chuoni kuna watoto wa Mama Salma wengi sana.
Hao watoto wa salma hukuwakwaa kweli?maana hata wao bado ni binadamu wana hisia wanahitaji kupata hiyo kitu
 
Kwa tulipofikia ni ngumu kuzuia ukahaba nchini hasa kwa kutumia nguvu... Suala hili ni mtambuka linahitaj sera na mipango ya muda mrefu na si kukurupuka tu na kuwakamata kisha ata sheria za kuwashtak hauna inakulazimu uwaachie tu...
Ujumbe huu ni vema ukawafikia viongozi wetu wa mkoa wa dsm ambao kwao kila kitu ni pingu tu
 
omba risiti mkuu nchi ipate kodi, adventure toka kigoma lililala hapo kumbe nawe ulikuwamo!
 
omba risiti mkuu nchi ipate kodi, adventure toka kigoma lililala hapo kumbe nawe ulikuwamo!
Mkuu namshukuru mungu huko nishapita yaani adventure na saratoga nimewaachia nyinyi na wenzako kina MOTOCHINI
 
Kwa kweli pole, ila hapo kwa watoto wa kiume weka kwenye mabano, (vijana wengi wameijua dunia kupitia wadada wa kazi). Pole Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…