Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Mkuu nimekukubali huo ndio ushauri murua, kwa sababu wanalia lia bure hiyo serikali ya CCM ndiyo iliyowaweka hao wachaga sijuia wezi kwenye maofisi ya serikali, kwa nini wasijiulize kila kiongozi au director akihujumu au kuiba anapelekwa kusini kama adhabu badala ya jela???? Nasema hivi serikali dhaifu na mipango dhaifu ndiyo chanzo cha kukwamisha maendeleo ya kusini na kwingineko kote TZ!!!!Piga chini the whole system ya CCM tuanze upya kujenga nchi yetu, wezi wa kila aina sehemu yao ni jela!!!!!Nilitaka kuikubali point yako lakini umeonesha makamasi kwenye mawazo yako!Nani aamekwambia biashara nzuri zote ni za wachaga?Wachaga ni wachuuzi tu na vimitaji vyao vya vya kuuzia kitimoto na chupi!Nenda Mbeya kama utawaona au Iringa kama utawakuta!Dar unaijua vizuri wewe?Au na wahindi we unawaona ni wachaga wenzio?Nenda mwanza utawakuta wenzio wanakangishwa chipsi na wasukuma na wauza mabaa wakubwa siku hizi ni wachaga au hunywi?We waambie tu dada zenu wajipitishe kwa mafisadi wapigwe mambo yetu yale maana wanajua sana kulia kazini waolewe sio kujifanya eti wachaga wachaga mbona mi housegirl wangu mchaga?Kawatafute wakinga,Wahehe,Wapare,Wasukuma hata warangi wapo wengi tu na biashara zao za kufa mtu tena wapo mpaka china!Ila mwito wangu kwa watu wakusini ni kwamba CCM wala sio rafiki kwa maendeleo yenu kama mnavyowapamba kina membe.Hawana lolote wale ni wezi tu na mtaumia sana msipokua ngangari!CUF sio chama cha maendeleo ila ni Taasisi ya dini ya Kiislamu mtaishia kuvaa kanzu na misuli mpaka kiama PIGA CHINI HAOOO!weka CHADEMA PALE.
achane uvivu jamani, kwa kweli kwa uvivu mnaongoza watu wa kusini, mnaamkia kwenye bao.............ni mbunge wa viti maalum ccm kutoka mkoani lindi.
Ametaja mtandao ambao umeonekana una majina ambayo yanaishia na rafudhi za kichaga kuwa ndio wameurudisha mikoa ya lindi na mtwara na wanahusisha mtanadao huo wa watendaji wa serikali walio na mafungamano na chadema. Kawataja watendaji wezi ambao waneiba na kihamishwa ndani ya serikali. Kawataja wakuu wa wilaya na watendaji serikalini amewahusisha na ukabila na wote wakiiba wanahamishwa.
Sasa mimi najiuliza wakuu wa mikoa na wilaya wanachaguliwa na kuteuliwa na nani? Chadema wanahusikaje kwenye uteuzi wa wezi? Chadema kwani ndio wanawahamisha hao watendaji? Chama gani kinaingoza nchi chadema au ccm?
Mkuu nimekukubali huo ndio ushauri murua, kwa sababu wanalia lia bure hiyo serikali ya CCM ndiyo iliyowaweka hao wachaga sijuia wezi kwenye maofisi ya serikali, kwa nini wasijiulize kila kiongozi au director akihujumu au kuiba anapelekwa kusini kama adhabu badala ya jela???? Nasema hivi serikali dhaifu na mipango dhaifu ndiyo chanzo cha kukwamisha maendeleo ya kusini na kwingineko kote TZ!!!!Piga chini the whole system ya CCM tuanze upya kujenga nchi yetu, wezi wa kila aina sehemu yao ni jela!!!!!
achane uvivu jamani, kwa kweli kwa uvivu mnaongoza watu wa kusini, mnaamkia kwenye bao.............
Wakuu nimekua nikijiuliza siku nyingi neno mchagga au wachagga linavyotumiwa na watu wengi wakiwa na maana tofauti hasa kwa kuwasikiliza wanasiasa na kwa wale waliokuwa wanafuatilia bunge leo watakubaliana nami kuwa:1.Wapo wanaosema Chadema ni chama cha wachagga.Sasa mimi najiuliza,Wachagga ni kabila au ni neno linalomaanisha kitu kingine?
2.Wapo wanaosema wachagga ni wapenda pesa.
3.Wapo wanaosema wachagga ni wezi.
4.Mbunge wa viti maalumu leo kasema wachagga wanarudisha nyuma maendeleo.
Najiuliza hivyo kwasababu,kama Chadema ni chama cha wachagga,je yale makabila mengine yaliyopo chadema yamekosea njia?
Kama siyo,je wachagga waliopo vyama vingine wanatakiwa waondoke na waende chadema?
Kama wachagga ni wapenda pesa,je kila mpenda pesa ni mchagga?
Kama wachagga ni wezi,kwanini tunawapa madaraka makubwa na nafasi za maamuzi,na je wezi wote hasa waliopo jela ni wachagga?
Kama wachagga ni warudisha nyuma maendeleo nani anayewateua au kuwapa dhamana za uongozi?
Hapo ndipo ninapokosa jibu na kushindwa kuelewa kwani wachagga ni kabila au?
Naomba mnisaidie mawazo.
Wachaga wanaolewa sana na makabila mengine kuliko makabila mengine
Tuangalie viongozi waliopata wanawake toka kishimundu pekee:
Mh Benjamin Nkapa
Mh Sumaye
Mh Shein
..........
..........
..........
..........
.........
Kila kiongozi anayeingia madarakani ana mke wa kichaga.Sijui mke wa Edward Lowassa mama Regia sijui ni mchaga naye.Lol tunawaonea wivu tuu hawa wachaga.
Wakuu nimekua nikijiuliza siku nyingi neno mchagga au wachagga linavyotumiwa na watu wengi wakiwa na maana tofauti hasa kwa kuwasikiliza wanasiasa na kwa wale waliokuwa wanafuatilia bunge leo watakubaliana nami kuwa:1.Wapo wanaosema Chadema ni chama cha wachagga.Sasa mimi najiuliza,Wachagga ni kabila au ni neno linalomaanisha kitu kingine?
2.Wapo wanaosema wachagga ni wapenda pesa.
3.Wapo wanaosema wachagga ni wezi.
4.Mbunge wa viti maalumu leo kasema wachagga wanarudisha nyuma maendeleo.
Najiuliza hivyo kwasababu,kama Chadema ni chama cha wachagga,je yale makabila mengine yaliyopo chadema yamekosea njia?
Kama siyo,je wachagga waliopo vyama vingine wanatakiwa waondoke na waende chadema?
Kama wachagga ni wapenda pesa,je kila mpenda pesa ni mchagga?
Kama wachagga ni wezi,kwanini tunawapa madaraka makubwa na nafasi za maamuzi,na je wezi wote hasa waliopo jela ni wachagga?
Kama wachagga ni warudisha nyuma maendeleo nani anayewateua au kuwapa dhamana za uongozi?
Hapo ndipo ninapokosa jibu na kushindwa kuelewa kwani wachagga ni kabila au?
Naomba mnisaidie mawazo.
Ndo shida ya vitu maalamu! hawajui wanachfanya Walah! Mchaga kafikaji huko Yakhe? Hivi Serikali yetu ina mawaziri wangapi wa kichaga waacheni wachaga tena nazani ktk tanzania ndio kabila linalosambaza maendeleo sana katika sehemu nyingi za nchi mfano kufanya biasha nk