Ni kweli wachaga wezi kweli nimesikia na nimeamini kwani yule MP katoa na ushahidi wa fedha mamilioni na kataja majina mengi.....msg sent...
Sijui wizi wa Rada nao ulifanywa na wachaga? au EPA?
Naamini kama Lowassa angekuwa mchaga basi tungekuwa sasa hivi tuko kwenye very ugly chapter. Kutokana na udhaifu wao (CCM) wameshindwa kupambana na Lowassa, wakajaribu kumuweka karibu na CHADEMA lakini wakagundua sio mchaga sasa wakaja na kauli mbiu 'Kanda ya kaskazini'. Hivyo kutumia ukanda wanaweka sasa kumuweka ndani ya mabano Lowasa!
Wimbo wa Nape na Mukama wake wa Ukanda ni kielelezo tosha cha udhaifu wa CCM. Wamefikia hatua ya chini kabisa, wamefilisika kimawazo ndio maana wanamtumia huyu mbunge wa Lindi alaumu umaskini wa Lindi kuwa umeletwa na wachaga! Lakini madhara ya hii kauli ya leo yanaweza kuwa makubwa kuliko alivyodhani huyo mbunge.