Ukabila upendeleo mahakama(kitengo cha uhasibu)

Hili mwanangu linatisha ingawa hujatoa source na utafiti. Ila kwa jina tu naanza kukubaliana nawe si kwa vile ni mkabila la hasha. Natumia uzoefu wangu kuwa kwenye ofisi akiwapo Kimaro, Oluoch, Tiibuza, Mwakasege, Masanja na Mwita ni rahisi kutabiri kitakachofuata. Sijui kwanini watu hawa wanaoyaona makabila yao kuwa bora kuliko wengine wana kigonjwa cha ukabila na ngono. Huenda wanadumisha mila. Wote wana sifa ya kupenda kanywaji na ngono na kupendeleana. Anyway baba yenu nawajua watoto wangu. Mwenye malalamiko aje nimfumulie kila kitu.
 
SHALOM,napenda kuchukua
nafasi hii kukutarifu Bwana Hussein Katanga MTENDAJI MKUU WA
MAHAKAMA,JAJI MKUU(Othman Chande)MHASIBU MKUU WA SERIKALI(Mrs Mtanda)
dhumuni la waraka huu ni kukujulisha vitendo vya ubaguzi wa
kikabila,kijinsia vinavyofanywa na MHASIBU MKUU fanuel tiibuza,hapa
Mahakama kitengo cha Uhasibu

1.amekuwa akiwapendelea Wahaya wenzake,kama sio mhaya ktk kitengo cha
uhasibu huna chako,mfano kama inatokea safari ya nje ya DSM,semina au
session imprest lazima apewe Mhaya(jina tunalihifadhi)na tuna ushaidi wa
kutosha pamoja na vielelezo huwa wanagawana chief accountant na
mhasibu aliyepewa imprest

2.Huyu bwana ni mdhaifu kwa wanawake ktk kitengo cha uhasibu ukiwa
mwanamke(sister DUU)unapewa kipaumbele hata kama performance yako kazini
iko chini,imprest zote kama asipopewa Mhaya lazima atapewa mwanamke
kutoka kitengo cha BILLs(record tunazo idadi ya imprest walizobeba)kwa
kuwa ana uhusiano nao wa kimapenzi hta gazeti la mwananchi walishaandika
3.Huyu Bwana Fanuli Tiibuza amefanya uhamisho ktk kitengo cha
Uhasibu,ukitizama wengi aliyowahamisha ni wale anaowachukia,sehemu
muhimu amewaweka wahaya wenzake,pia amewaweka wahasibu ambao wako kwenye
mtandao wake wa wizi wa pesa za mfuko wa Mahakama,vitengo hivyo
ni(Final accounts,Examination,cash office,bills,Computer,High
court)tunaomba watendaji wakuu wa mahakama wafuatilie swala hili si
majungu,najua uwezo wa kutoa hawana kwani amekuwa akienda kwa waganga
huko Tanga ili asihamishwe Mhakama,pia amekuwa akiwahonga baadhi ya
watendaji Wizara ya fedha ili asihamishwe ushahidi tunao.

4.kuna swala la mafunzo ya nje ya nchi(Swazi na Mombasa)wahasibu ambao
wamekuwa wakienda swazland wanajulikana kila mwaka ni hao hao wengine
wanalipwa pesa hawaendi wanalala majumbani kwao ushahidi tunao,mhusika
No 1 chief accountant

Tunakuomba Hussein Katangaukiwa kama Mtendaji mkuu wa MAHAKAMA ufuatilie
malalamiko yetu kwa undani tumevumilia kwa muda mferu,kama utakumbuka
tulipopewa barua za kuchagua kubaki mahakama au kuondoka idadi kubwa ya
wahasibu pamoja na madereva walichagua kuondoka hapo mahakama kutokana
na ubaguzi na upandeleo
Mhakam ilikuwa na Vote 19,40,18 na vote zingine ktk Mahakama za
aridhi,kazi,na biashara cha ajabu vote zote zimefutwa imekuwa vote moja
40,mhusika mkuu wa hayo yote ni chief accountant kwa tamaa ya cheo
ahodhi pesa zote ziwe chini yake.

Mwisho kabisa nawaomba Nationa audit,PCCB waje kufanya ukaguzi hapa
Mahakam tangu aje Chief accountant Bwana Fanuel Tiibuza
Hayo unayosema ni ya kweli,kuna ubaguzi sana mahakama wahaya ndio first class
 
Hii ni case au malalamiko?
SHALOM,napenda kuchukua nafasi hii kukutarifu Bwana Hussein Katanga MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA,JAJI MKUU(Othman Chande)MHASIBU MKUU WA SERIKALI(Mrs Mtanda) dhumuni la waraka huu ni kukujulisha vitendo vya ubaguzi wa kikabila,kijinsia vinavyofanywa na MHASIBU MKUU fanuel tiibuza,hapa Mahakama kitengo cha Uhasibu

1.amekuwa akiwapendelea Wahaya wenzake,kama sio mhaya ktk kitengo cha uhasibu huna chako,mfano kama inatokea safari ya nje ya DSM,semina au session imprest lazima apewe Mhaya(jina tunalihifadhi)na tuna ushaidi wa kutosha pamoja na vielelezo huwa wanagawana chief accountant na mhasibu aliyepewa imprest

2.Huyu bwana ni mdhaifu kwa wanawake ktk kitengo cha uhasibu ukiwa mwanamke(sister DUU)unapewa kipaumbele hata kama performance yako kazini iko chini,imprest zote kama asipopewa Mhaya lazima atapewa mwanamke kutoka kitengo cha BILLs(record tunazo idadi ya imprest walizobeba)kwa kuwa ana uhusiano nao wa kimapenzi hta gazeti la mwananchi walishaandika
3.Huyu Bwana Fanuli Tiibuza amefanya uhamisho ktk kitengo cha Uhasibu,ukitizama wengi aliyowahamisha ni wale anaowachukia,sehemu muhimu amewaweka wahaya wenzake,pia amewaweka wahasibu ambao wako kwenye mtandao wake wa wizi wa pesa za mfuko wa Mahakama,vitengo hivyo ni(Final accounts,Examination,cash office,bills,Computer,High court)tunaomba watendaji wakuu wa mahakama wafuatilie swala hili si majungu,najua uwezo wa kutoa hawana kwani amekuwa akienda kwa waganga huko Tanga ili asihamishwe Mhakama,pia amekuwa akiwahonga baadhi ya watendaji Wizara ya fedha ili asihamishwe ushahidi tunao.

4.kuna swala la mafunzo ya nje ya nchi(Swazi na Mombasa)wahasibu ambao wamekuwa wakienda swazland wanajulikana kila mwaka ni hao hao wengine wanalipwa pesa hawaendi wanalala majumbani kwao ushahidi tunao,mhusika No 1 chief accountant

Tunakuomba Hussein Katangaukiwa kama Mtendaji mkuu wa MAHAKAMA ufuatilie malalamiko yetu kwa undani tumevumilia kwa muda mferu,kama utakumbuka tulipopewa barua za kuchagua kubaki mahakama au kuondoka idadi kubwa ya wahasibu pamoja na madereva walichagua kuondoka hapo mahakama kutokana na ubaguzi na upandeleo
Mhakam ilikuwa na Vote 19,40,18 na vote zingine ktk Mahakama za aridhi,kazi,na biashara cha ajabu vote zote zimefutwa imekuwa vote moja 40,mhusika mkuu wa hayo yote ni chief accountant kwa tamaa ya cheo ahodhi pesa zote ziwe chini yake.

Mwisho kabisa nawaomba Nationa audit,PCCB waje kufanya ukaguzi hapa Mahakam tangu aje Chief accountant Bwana Fanuel Tiibuza
 
nakuomba mh. othman chande fuatilia hili suala.najua utalifuatilia tu hili suala na kitaeleweka.
 
nakuomba mh. othman chande fuatilia hili suala.najua utalifuatilia tu hili suala na kitaeleweka.
Mwenye namba yakre ya mkononi anipim pliz, naprint hii kitu, nampigia simu na kisha naanza kumsomea ili ajue watu wanajua mengi.
 
SHALOM,napenda kuchukua
nafasi hii kukutarifu Bwana Hussein Katanga MTENDAJI MKUU WA
MAHAKAMA,JAJI MKUU(Othman Chande)MHASIBU MKUU WA SERIKALI(Mrs Mtanda)
dhumuni la waraka huu ni kukujulisha vitendo vya ubaguzi wa
kikabila,kijinsia vinavyofanywa na MHASIBU MKUU fanuel tiibuza,hapa
Mahakama kitengo cha Uhasibu

1.amekuwa akiwapendelea Wahaya wenzake,kama sio mhaya ktk kitengo cha
uhasibu huna chako,mfano kama inatokea safari ya nje ya DSM,semina au
session imprest lazima apewe Mhaya(jina tunalihifadhi)na tuna ushaidi wa
kutosha pamoja na vielelezo huwa wanagawana chief accountant na
mhasibu aliyepewa imprest

2.Huyu bwana ni mdhaifu kwa wanawake ktk kitengo cha uhasibu ukiwa
mwanamke(sister DUU)unapewa kipaumbele hata kama performance yako kazini
iko chini,imprest zote kama asipopewa Mhaya lazima atapewa mwanamke
kutoka kitengo cha BILLs(record tunazo idadi ya imprest walizobeba)kwa
kuwa ana uhusiano nao wa kimapenzi hta gazeti la mwananchi walishaandika
3.Huyu Bwana Fanuli Tiibuza amefanya uhamisho ktk kitengo cha
Uhasibu,ukitizama wengi aliyowahamisha ni wale anaowachukia,sehemu
muhimu amewaweka wahaya wenzake,pia amewaweka wahasibu ambao wako kwenye
mtandao wake wa wizi wa pesa za mfuko wa Mahakama,vitengo hivyo
ni(Final accounts,Examination,cash office,bills,Computer,High
court)tunaomba watendaji wakuu wa mahakama wafuatilie swala hili si
majungu,najua uwezo wa kutoa hawana kwani amekuwa akienda kwa waganga
huko Tanga ili asihamishwe Mhakama,pia amekuwa akiwahonga baadhi ya
watendaji Wizara ya fedha ili asihamishwe ushahidi tunao.

4.kuna swala la mafunzo ya nje ya nchi(Swazi na Mombasa)wahasibu ambao
wamekuwa wakienda swazland wanajulikana kila mwaka ni hao hao wengine
wanalipwa pesa hawaendi wanalala majumbani kwao ushahidi tunao,mhusika
No 1 chief accountant

Tunakuomba Hussein Katangaukiwa kama Mtendaji mkuu wa MAHAKAMA ufuatilie
malalamiko yetu kwa undani tumevumilia kwa muda mferu,kama utakumbuka
tulipopewa barua za kuchagua kubaki mahakama au kuondoka idadi kubwa ya
wahasibu pamoja na madereva walichagua kuondoka hapo mahakama kutokana
na ubaguzi na upandeleo
Mhakam ilikuwa na Vote 19,40,18 na vote zingine ktk Mahakama za
aridhi,kazi,na biashara cha ajabu vote zote zimefutwa imekuwa vote moja
40,mhusika mkuu wa hayo yote ni chief accountant kwa tamaa ya cheo
ahodhi pesa zote ziwe chini yake.

Mwisho kabisa nawaomba Nationa audit,PCCB waje kufanya ukaguzi hapa
Mahakam tangu aje Chief accountant Bwana Fanuel Tiibuza

anawapendelea sana wakristo huyo chief
 
Kuna wahaya wangapi ambao hawana vigezo na wamewekwa hapo?Kwani chief accountant ndio muajiri?Usichanganye kilio chako ambacho kinaweza kuwa cha kweli na frustrations zako za maisha.Unaweza kuwa na jambo la maana lakini ukashindwa kuli-present kwa sababu tu ya kutumia blanket statements-anapendelea wahaya...unaweza kuambiwa taja mhaya mmoja asiye na vigezo na alipewa kazi hapo ukaishia kubwabwaja bila kutaja anyone.
 
Kuna wahaya wangapi
ambao hawana vigezo na wamewekwa hapo?Kwani chief accountant ndio
muajiri?Usichanganye kilio chako ambacho kinaweza kuwa cha kweli na
frustrations zako za maisha.Unaweza kuwa na jambo la maana lakini
ukashindwa kuli-present kwa sababu tu ya kutumia blanket
statements-anapendelea wahaya...unaweza kuambiwa taja mhaya mmoja asiye
na vigezo na alipewa kazi hapo ukaishia kubwabwaja bila kutaja
anyone.

swala sio qualification kinachozungumziwa ni upendeleo na uonevu,
 
Kuna wahaya wangapi
ambao hawana vigezo na wamewekwa hapo?Kwani chief accountant ndio
muajiri?Usichanganye kilio chako ambacho kinaweza kuwa cha kweli na
frustrations zako za maisha.Unaweza kuwa na jambo la maana lakini
ukashindwa kuli-present kwa sababu tu ya kutumia blanket
statements-anapendelea wahaya...unaweza kuambiwa taja mhaya mmoja asiye
na vigezo na alipewa kazi hapo ukaishia kubwabwaja bila kutaja
anyone.

wewe lazima utakuwa mhaya mwenzie,ndio maana unatetea ujinga
 
wewe lazima utakuwa mhaya mwenzie,ndio maana unatetea ujinga

Sawa ni kweli mi ni mhaya,kuna kosa?Turudi kwenye hoja...toa zako sio kusema ujinga bila kuonesha ujinga uko wapi.Ni ujinga kusema ujinga bila kuonesha huo ujinga na kujitofautisha.
 
Tanzania nakulilia kila mahali ukabila ukienda NSSF udini,ukitia mguu TRA ukabila na sasa Mahakamani kitengo cha uhasibu ukabila.
 
hizi tuhuma ni za kweli kabisa nimefanya uchunguzi wangu nimewahoji baadhi ya watumishi wa mahakama wanasema ni kweli na huyo chief Accountant alikuwa analindwa na Jaji Mtungi kipindi akiwa msajili wa mahakama
 
Kuna wahaya wangapi ambao hawana vigezo na wamewekwa hapo?Kwani chief accountant ndio muajiri?Usichanganye kilio chako ambacho kinaweza kuwa cha kweli na frustrations zako za maisha.Unaweza kuwa na jambo la maana lakini ukashindwa kuli-present kwa sababu tu ya kutumia blanket statements-anapendelea wahaya...unaweza kuambiwa taja mhaya mmoja asiye na vigezo na alipewa kazi hapo ukaishia kubwabwaja bila kutaja anyone.


Wewe Muhaya acha kupindisha hoja!Mtoa mada hajasema kwamba wanaajiriwa kwa upendeleo,yeye ameongelea opportunities zinazotolewa kwa wafanyakazi priority wanapewa wahaya!Sasa Training ya kwenda Swaziland inauhusiano gani na qualification unazozisemea wakati labda wote ni wahasibu wa daraja moja? Safari za nje ya dar kweli wengine hawafai mpaka wahaya ndiyo wanaqualify zaidi kuzipata hizo nafasi?Hebu mjibu mtoa mada kwa point siyo kubwabwaja kwakuwa umeguswa.
 
Wewe Muhaya acha kupindisha hoja!Mtoa mada hajasema kwamba wanaajiriwa kwa upendeleo,yeye ameongelea opportunities zinazotolewa kwa wafanyakazi priority wanapewa wahaya!Sasa Training ya kwenda Swaziland inauhusiano gani na qualification unazozisemea wakati labda wote ni wahasibu wa daraja moja? Safari za nje ya dar kweli wengine hawafai mpaka wahaya ndiyo wanaqualify zaidi kuzipata hizo nafasi?Hebu mjibu mtoa mada kwa point siyo kubwabwaja kwakuwa umeguswa.
Mimi mhaya,sijutii na najivunia kuwa mhaya....siwezi kuguswa na matusi ya kutukanwa kabila,nawadharau tu wote wanaojaribu kutupa sifa mbaya wahaya...if you can not go beyond the normal cliches and stereotypes of saying wahaya ni wabinafsi and other nonsense stuff nakuweka kwenye kundi la wajinga wasioweza kupambanua mambo to the extent of linking some vices to ethnicity without any premises or research.
 
SHALOM,napenda kuchukua
nafasi hii kukutarifu Bwana Hussein Katanga MTENDAJI MKUU WA
MAHAKAMA,JAJI MKUU(Othman Chande)MHASIBU MKUU WA SERIKALI(Mrs Mtanda)
dhumuni la waraka huu ni kukujulisha vitendo vya ubaguzi wa
kikabila,kijinsia vinavyofanywa na MHASIBU MKUU fanuel tiibuza,hapa
Mahakama kitengo cha Uhasibu

1.amekuwa akiwapendelea Wahaya wenzake,kama sio mhaya ktk kitengo cha
uhasibu huna chako,mfano kama inatokea safari ya nje ya DSM,semina au
session imprest lazima apewe Mhaya(jina tunalihifadhi)na tuna ushaidi wa
kutosha pamoja na vielelezo huwa wanagawana chief accountant na
mhasibu aliyepewa imprest

2.Huyu bwana ni mdhaifu kwa wanawake ktk kitengo cha uhasibu ukiwa
mwanamke(sister DUU)unapewa kipaumbele hata kama performance yako kazini
iko chini,imprest zote kama asipopewa Mhaya lazima atapewa mwanamke
kutoka kitengo cha BILLs(record tunazo idadi ya imprest walizobeba)kwa
kuwa ana uhusiano nao wa kimapenzi hta gazeti la mwananchi walishaandika
3.Huyu Bwana Fanuli Tiibuza amefanya uhamisho ktk kitengo cha
Uhasibu,ukitizama wengi aliyowahamisha ni wale anaowachukia,sehemu
muhimu amewaweka wahaya wenzake,pia amewaweka wahasibu ambao wako kwenye
mtandao wake wa wizi wa pesa za mfuko wa Mahakama,vitengo hivyo
ni(Final accounts,Examination,cash office,bills,Computer,High
court)tunaomba watendaji wakuu wa mahakama wafuatilie swala hili si
majungu,najua uwezo wa kutoa hawana kwani amekuwa akienda kwa waganga
huko Tanga ili asihamishwe Mhakama,pia amekuwa akiwahonga baadhi ya
watendaji Wizara ya fedha ili asihamishwe ushahidi tunao.

4.kuna swala la mafunzo ya nje ya nchi(Swazi na Mombasa)wahasibu ambao
wamekuwa wakienda swazland wanajulikana kila mwaka ni hao hao wengine
wanalipwa pesa hawaendi wanalala majumbani kwao ushahidi tunao,mhusika
No 1 chief accountant

Tunakuomba Hussein Katangaukiwa kama Mtendaji mkuu wa MAHAKAMA ufuatilie
malalamiko yetu kwa undani tumevumilia kwa muda mferu,kama utakumbuka
tulipopewa barua za kuchagua kubaki mahakama au kuondoka idadi kubwa ya
wahasibu pamoja na madereva walichagua kuondoka hapo mahakama kutokana
na ubaguzi na upandeleo
Mhakam ilikuwa na Vote 19,40,18 na vote zingine ktk Mahakama za
aridhi,kazi,na biashara cha ajabu vote zote zimefutwa imekuwa vote moja
40,mhusika mkuu wa hayo yote ni chief accountant kwa tamaa ya cheo
ahodhi pesa zote ziwe chini yake.

Mwisho kabisa nawaomba Nationa audit,PCCB waje kufanya ukaguzi hapa
Mahakam tangu aje Chief accountant Bwana Fanuel Tiibuza

kama kuna mtu ana number ya simu ya Hussein Katanga mtendaji mkuu wa makama au Jaji Mkuu Othman Chande anipe niwajulisha,nadhani hawajui malalamiko haya
 
Back
Top Bottom