malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,312
- 512
Na wachaga ndio first class TRA.
mnatuhofia kwa utendaji kazi wetu makini na uliotukuka baada ya majungu mengi mmefanikiwa kutuondoa ingawaje sifa zote tunazo, mliowaweka mmeshaona majibu yake bila shaka mpaka sasa watumishi wa serikali kuu mshahara hamjapata!!!! kisa uswahili mwingi katika ukusanyaji wa mapato. Maji yatajitenga na mafuta na tunaostahili post zetu za haki mtaturudishia maana mambo yameshawashinda ! mlifikiri rahisi mangi kuwakusanyia ngawira?