Ukabila, Ukanda na Udini ni kete ya mwisho ya CHADEMA?



What is denial in psychology?

Primitive Defense Mechanisms. Denial.
Denial is the refusal to accept reality or fact, acting as if a painful event, thought or feeling did not exist. It is considered one of the most primitive of the defense mechanisms because it is characteristic of early childhood development.
 
Unaweza ukawa unawaza kile ambacho kiko karibu na ubongo wako watanadi wapi ikiwa kila unalosema kuhusu magu unaitwa mchochezi haha mnajitetea kweli siasa mpaka 2020 hapo ndio unahisi watawambia watu au punguza mawazo hayo watu hata wangeamua wanavyoona inafaa bado hawataki hata ingekuwa kwa folen bado ccm mmejimilikisha nchi kwa polisi na wanajeshi umesahau oparation ukuta mkawaomba wanajeshi waanze kufagia barabarani , ile wananchi waliweza kuipokea kama uchaguzi mnagiza bunduki na mbomu ndo mjue kuwa mnalazimisha ushindi ambao mpaka leo ni siri yenu wenyewe kuwa nani anashinda kwa sababu safu za wahesabu kura yote inaandaliwa na rais wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaweza kukubali kutokubaliana!

Naomba uniambia, hayo mazungumzo ya taasisi za dini yalifanyika wapi katika ukumbi gani?

Nini matokeo ya mazungumzo yao na yalitolewa wapi?
 
Tunaweza kukubali kutokubaliana!

Naomba uniambia, hayo mazungumzo ya taasisi za dini yalifanyika wapi katika ukumbi gani?

Nini matokeo ya mazungumzo yao na yalitolewa wapi?
Ukipata muda wa kupitia kwa makini tovuti ya Christian Council of Tanzania (CCT) utakuta kuna mambo yanahusiana na hilo ingawa unaweza usikutane na neno UKAWA haraka.
 
Tusubiri muda ndio utatoa ukweli kuhusu hii hoja ya CHADEMA.

Sifahamu wamejiandaa kwa kiwango gani katika kuitetea hoja yao.
 

Ndio maana nimesema hii ni silaha ya mwisho kwa Rais Magufuli.

Kama wanajitambua na wangekuwa na silaha zingine wangezitumia.

Siamini kama hawajui athari za kutumia hii silaha kwa Tanzania.
 
MsemajiUkweli
Unaamuni kweli Magu katika teuzi zake haangalii udini?
Nipatie teuzi gani aliyowahi kufanya tangu akiwa waziri mpaka rais watu wa dini ile wakafika hata 10%
Hoja ya elimu ni mfu na haina mashiko
Wangekuwa wanaandika kwenye CV imani za dini zao ningekupatia idadi yao.

Kama wewe unafahamu unaweza kutoa hiyo idadi!
 
Sio kila hoja zinatakiwa kupata majibu.

Hoja za kipumbavu haziwezi kupata majibu kutoka kwa watu wanaojitambua kiakili na kifikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…