...sherehe zitatugharimu over 10 billions, whilst wananchi wanakosa dawa,huduma bora za afya,elimu,maji, umeme miundo mbinu mibovu. . . .yet, tutaalika watu mashuhuri, tutawalipia Kempiski, double tree, moveñpick, . . . .na mbwembwe kibao na tutawapa zawadi warudi nazo kwao.