Ujumbe wangu wa leo..............

Ujumbe wangu wa leo..............

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,069
Reaction score
34,834
10698544_312303188956960_5288949031871098839_n.jpg
 
R. I. P mzee nyerere... Ngedere wameshavamia shamba lako uliloliacha. Wamekula mahindi yote uliyoyaacha kwa kizaz cha baadae...
Uliowaita wahuni leo ndio viongoz wetu.
 
Usirudi baba RIP huko ulipo maana hufiki huku wakijua unakuja watakutoa roho njiani ni wanyama hawa si watu
 
Angeanzia na Prof Tezi Dume kushuka chini hadi akina Lusinde mwisho kabisa Mariam Kisangi.
 
Babu usirudi huku ni mazingaombwe tu. Akina Asumpta wanataka'' URAHIS''yaan nchi imekua kama bucha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom