Ujumbe wa wazi kwa Mhe. Edward Lowassa: Uchaguzi ni wako

Mkulu mgonjwa!? Yap, tunahitaji experience. Ya mkulu kurudi alikotoka akiwa madarakani. Hatuna hiyo experience kama taifa 47 years young.
 
Leo hii hatutaki kuongelea mambo yaliopita kwa kujwa mimi ninaamini kuwa historia ndio itakuja kusema ukweli juu ya tukio zima la lowasa na jinsi ambavyo ninaamini kuwa hakutendewa haki........

hakujitendea haki, to be precise.

kimsingi anachojaribu kusema Mwkjj ni kuwa Lowasa anaendeleza mkakati fulani na hapo hapo yuko kimya,huu ni wazi kuwa ni uzushi kabisa na inawezekana kuwa wewe ni kati ya wale wanaoogopa vivuli vyao wenyewe,Hamjiamini na ukimya wa Lowasa ametulia na sasa mnamtafuta ili aongee,Lowasa hawezi kuongea kwa kuwa mwanakijiji kasema na kamwe mwkk hana moral authority ya kumchagulia lowasa marafiki....mwacheni Lowasa afanye kazi zzake za jimbo,mwacheni awahudumie wale waliomchagua kwa hiari yao wana wa monduli,mnachojaribu kufanya hapa ni kutafuta namna ya kuficha mapungufu yenu,tangu ametoka mambo mengi yamesimama na Pinda kashindwa kuvaa viatu vya Lowassa.ni aibu kwa wote mlioshangilia mzee wa Mipasho Mwakiembe akibwabwaja hovyo,ni aibu kwa wazandiki wote wa tanzania na ni aibu kwa serikali nzima ya jk inayoshindwa kusimamia na kutimiza malengo waliowaahidi watanzania.

of course.. nani mwingine mwenye moral authority ya kumtetea passionately EL, but you? It is all good though.
 
Hii habari ya usalama wa Taifa kufanyiwa mabadiliko ni ya kweli au? Tatizo Jk hana hizo guts!!! labda kama kaazima!!
 
hakujitendea haki, to be precise.



of course.. nani mwingine mwenye moral authority ya kumtetea passionately EL, but you? It is all good though.

Kaka ujaribu kupotosha umma kuwa Edward aliamua kunyamaza na kutojitetea,ni kweli alifanya vile kwa heshima kubwa na upendo kwa rais wake na nchi yake...kama angeamua kupambana ni wazi hakuna mtu angeweza kumtoa ..lakini ni makjosa makubwa sana kuwaza kuwa aliamua tu kunyamaza kwa kuwa alikuwa ni dhaifu kama unavyojidanganyaukweli ni kuwa aliamua kunyamaza kulinda heshima ya serikali ya rais wake anaempenda sana JK.....however kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo vema unajua baada ya kasuku Mwakiembe kuongea ilifuata kamati ya uongozi ya bunge ambayo pamoja na mambo mengine ilijadiri kwa kina alioongea Mwakiembe,na kamati ile kwa nguvu ya ajabu iliatupilia mabali hoja dhaifu za Mwakiembe dhidi ya waziri mkuu na wakateuliwa watu wawili kwenda kwa JK ambao ni ally ameir na Embe Bivu.Embe Bivu akasema kuwa pamoja na kuwa kamati ya uongozi ya bunge kuona Lowasa hana hatia likini tayari amechafuliwa sana kwenye taswira ya wananchi...kutokea hapo Lowasa nae alikuwa na mapendekezo yake ambayo hatimae yakapelekea uamuzi wake wa kujiuzuru...najua yote hayo unayajua lila n ia ni kupotosha ukweli hapa na sao vinginevyo...
 
Kaka ujaribu kupotosha umma kuwa Edward aliamua kunyamaza na kutojitetea,ni kweli alifanya vile kwa heshima kubwa na upendo kwa rais wake na nchi yake...kama angeamua kupambana ni wazi hakuna mtu angeweza kumtoa ..lakini ni makjosa makubwa sana kuwaza kuwa aliamua tu kunyamaza kwa kuwa alikuwa ni dhaifu kama unavyojidanganyaukweli ni kuwa aliamua kunyamaza kulinda heshima ya serikali ya rais wake anaempenda sana JK.....however kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo vema unajua baada ya kasuku Mwakiembe kuongea ilifuata kamati ya uongozi ya bunge ambayo pamoja na mambo mengine ilijadiri kwa kina alioongea Mwakiembe,na kamati ile kwa nguvu ya ajabu iliatupilia mabali hoja dhaifu za Mwakiembe dhidi ya waziri mkuu na wakateuliwa watu wawili kwenda kwa JK ambao ni ally ameir na Embe Bivu.Embe Bivu akasema kuwa pamoja na kuwa kamati ya uongozi ya bunge kuona Lowasa hana hatia likini tayari amechafuliwa sana kwenye taswira ya wananchi...kutokea hapo Lowasa nae alikuwa na mapendekezo yake ambayo hatimae yakapelekea uamuzi wake wa kujiuzuru...najua yote hayo unayajua lila n ia ni kupotosha ukweli hapa na sao vinginevyo...

Mkuu!!
You really have the guts?????????????????????????
 
Mkuu, katika hili naona nasi tuwe wasomaji tu kama huyo mlengwa wako!!
ulo-yataja ni 'mazito' kidogo.:confused::confused:
 
edward lowassa was good friends with reginald abraham mengi..i dont know about now,ila they were friends.
 
NINAChojua ni kuwa jk na bwm wote wanaogopa kutoa maamuzi mazito ukianzia tangu kwenye muungano...na mengine mengi ikija hata hiyo restructuring ya uwt...KILA AJAE ANAOGOPA SANA KUWA YEYE NDIO KING MAKER WA HILO TIMING BOMU...ANATAKA ALIPITISHE HARAKA HARAKA ILI LISIJE LIPUKA AKIWA YEYE MADARAKANI......JK HAWEZI KUAMUA MABADILIKO MAKUBWA VILE....HASA KWA USALAMA WA TAIFA HANA GUTS HIZOOO................

NCHI HAINA MWENYEWE NA MWENYE UCHUNGU WA HII NCHI TENA...HAKUNA NANI???????
 
UJUMBE WA WAZI KWA MHE. EDWARD LOWASSA: "Uchaguzi ni wako"
Na. M. M. Mwanakijiji


mc07011464.jpg


Endapo aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Edward Lowassa (CCM-Monduli) ataendelea na mwelekeo wake wa sasa wa kisiasa na mahusiano yake ya sasa ya kimkakati basi njozi zake za kuja kushiriki tena katika uongozi wa juu wa taifa letu zitakuwa zimefikia ukingoni bila kupiga kelele ya breki. Na endapo nitakachoandika hapa hatakipa uzito wake unaostahili naomba niwe wa kwanza kutanguliza habari mbaya kwake na wale wanaomuunga mkono kuwa atashindwa. He will lose.

Ninaandika kwa sababu kubwa tatu; kwanza ni kwa sababu ninaamini anapoteza muda kwa kuendelea na machungu ya matukio ya mwaka jana; pili, anapoteza kipaji chake cha uongozi kwa kukaa pembeni ya mijadala ya kitaifa na hivyo kuonekana yuko upande kinyume na maslahi ya taifa na tatu, ni kwa sababu naamini hakuna mtu mwingine anayeweza kumuambia kile nitakachomuambia hapa kwa heshima na taadhima kubwa. Wengine aidha wanamuonea soni, wanamuogopa au kwa namna fulani wanagwaya mbele yake.

ujumbekwalowassa.jpg

Inaendelea katika attachment...

Nimeonelea nijitafsiri mwenyewe maana watu wengine wanatafsiri zaidi ya kile nilichosema.

a. Lowassa anawajibika kwa kujiuzulu kwake Uwaziri Mkuu. Hana wa kumlaumu.

b. Amechagua upande usio sahihi baada ya kuachia ngazi.

c. Hawezi kurudi kwenye uongozi wa kitaifa na hivyo ni bora aendelee kukaa upande huo mwingine. It is too costly.
mkjj heshima..

makala nzuri kwani kwa siye weledi wa kutafakari tunagundua matokeo unayohitajiii..

huyu EL hakuna ubishi bado ni mwenye nguvu kubwa ktk serikali na chama chao cha wanafiki wengii..

ila uwezo mdogo wa kiuongozi alionao JK ndo nguvu kubwa ya EL...
 
MMKJJ, Nimekusoma na kwa kuanzia nakunyanyulia mikono, you have the guts!.
Hongera kumshauri na asante kutuelimisha.
 
Duh sio mchezo mwanakijiji ni bonge la beki , hapiti mtu hapo au sio mwanangu. Nakuaminia
 
As far as I am concerned.EL na RA bado nafikiri ushauri wa Mzee Ndesamburo wakati akichangia mjadala wa Richmond pale bungeni ulikuwa ushauri makini, na best solution nao sio mwingine bali wa kuwanyonga hadharani that was that, ingekuwa far east Asia EL angejiwajibisha kwa kujinyonga lakini kwa sababu pengine ni mkristo serikali ingechukua ushauri wa mzee na kumsaidia kuwanyoga hivi sijui hii huruma unayomwonea ni ya nini?
Duuh, mi naona hii njia haitatusaidia sana mana tuna mahakama na magereza. Itatuletea tatizo lingine ikizingatiwa tupo Africa ambako kila kitu kinawezekana.Tukipat mtu mpika mizengwe itakuwaje? Si atawatuhumu na kuwaua watu wote wanaoenda kinyume naye?
 
Hivi tunasubiri nini sisi Watanzania kuongozwa na Serikali mbovu ya aina hii iliopo Madarakani? hivi hili JESHI limelala kiasi hiki Linashindwa Kuchukuwa Madarakaaaaaaa.
Eeeh,Kind words can be short and easy to speak, but their echoes are truly endless.
Mapinduzi ya kijeshi nayo mbona naona sio dawa...yamepitwa na wakati. Pengine tupiganie mapinduzi y fikra ili watu wawe na uwezo mkubwa zaidi wa kuchangua wanayoyataka wakijua fika hatima yake
 
hapa mwnakijiji NIMEKUBALI MAPIGO!kama ni kenye soka wewe ni NURDIN BAKARI
 
Mzee Mwanakijiji, yaani unataka kumshauri Lowasa athubutu kusimama katikati ya kadamnasi apinge ufisadi?? Kwake hii ni kama vile mbingu na ardhi hazikutani. Hatathubutu. Yeye Lowasa mwili wake, utashi wake, moyo wake sijui na roho vile mpaka hata mavazi yananuka ufisadi. Sasa hapo atasimamaje atibu ugonjwa chronic wa ufisadi, wakati yeye mwenyewe ni ndiye virus wa ugonjwa wenyewe.

Huko alikochagua akae huko huko ikiwezekana ajichimbie handaki kama lile la hayati Sadam Hussein ili watanzania ambao wanaishi chini ya dola moja kwa siku wasimwone kabisa. Unajua ni kwa vile watanzania tu wapole sana, naamini ingekuwa nchi nyingine kuna watu ambao naamini wangekuwa tayari kujitoa na kujifunga bomu la mhanga kumaliza mafisadi wote!!! Kama ni hivyo basi Lowasa asingepona katika bomu hilo la kujitoa mhanga!!!

Lowasa kaka yangu hongera sana umechagua kilicho chema. After all hujapoteza utajiri maana huo wa kifisadi uliojipatia watakula hadi vilembwekeze wako (the whole of your clan i.e hadi kizazi chake cha nne), sanasana ulichokosa ni ule u-public figure wa heshima, which is very bad and I believe it is hotly ironing you!!!!!

Lowasa kaka yangu, kilichobaki mrudie Mungu, tubu na andaa safari yako ya mwisho kwa Mungu baba, ambayo ni sehemu ya mwisho wa mwanadamu yoyote aliyetoka mavumbuni na aliyezaliwa na mwanamke!!! Mkeo, ni mcha Mungu, namkubali; ni wakati muafaka mtulie katika neno la Mungu, japo yeye anahudhuria kwa Pengo na wewe kwa Malasusa lakini Mungu ni yule yule.

Ingefaa tu kaka yangu ushikishwe adhabu ukaye makazi ya sheria kama yale ya Mh. Abood Jumbe Kigamboni, huko Monduli ni sawa kunakutosha. Inakuwaje huko nyuma wah. kama Jumbe waliwekwa under control tena tu kwa kuwa alikuwa na changamoto nzuri, ila wakaziogopa!!!! Leo tunashindwa nini kuwaweka mafisadi wote kwenye remoted residence na wasionane na ulimwengu???

Mzee Mwanakijini, ushauri wako ni wa busara, ila mimi kwa mtazamo wangu comrade Lowasa amechagua fungu jema kwa faida ya watanzania wazalendo ila kwa hasara ya mafisadi wenzake ambao wanapigana kuhakikisha 2010 anapata ofisi!!! Shame.
 
NImeandika kwenye mada ya kwanza juu ya kujitafsiri kwa mistari mitatu.

Mkjj, nimerudia kusoma tena hiyo mistari mitatu, nakiri wa tatu umenigusa zaidi na kunikumbusha haya uliyoyasema juzi hapa:

https://www.jamiiforums.com/467820-post54.html

Unajua nini, mimi nitabakia kuwa mtengenezaji and sometimes muuza risasi - wewe zitumie ipasavyo tu, kwani manufaa ni kwa walio wengi. Kwenye mapambano, sniper fires huwa hazikosi, and even worse, blue-on-blue blunders hutokea pia. Acha vita hii itumie miaka 2 hadi 400, the bottom line, we fought it, saboteurs of the course included. Blessings ndugu.

SteveD.
 
Back
Top Bottom