OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,200
- 103,737
Gerezani walikuwa na Nusrati ambaye pamoja na machungu yote anakubali ubunge wa kupewa na CCM
Na wenzie wengine wapo Ubelgiji wanakula bata na watoto wao..hawajui hata ye watoto wake walikuwa wanakula nini kipindi yupo ndani..Wajinga ndio waliwao. Wenzako wameapa we umetoka gerezani! Nenda kalee familia yako mkuu.
Na kutibiwa UlayaWewe endelea kuwa kamanda tu na kukesha magerezani, wenzako wanakesha bungeni na mav8
Usikute watu walikuwa wanakula mkewe kwa sababu ya dhiki..anatoka anakutana na ngoma kama mkewe alijikwaa pabaya.Acha uboya tafuta chakula ya watoto wako
Ukiachana na sar
Ukiachana na sarakasi za kina mbowe ni chama gani kingine ambacho hakina sarakasi?
HahahaaaHuyu nae angekua mwanamke tungemuona Dodoma Jana..
Indeed.Kama hawa BAVICHA bora wangekaa kimya tu
Akili zako tope, amekwambia ana shida ya chakula au ana watotoAcha uboya tafuta chakula ya watoto wako