Joyce Emmanuel [25] mkazi wa Tabata Kimanga amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya panya kutokana na ujumbe wa simu aliotumiwa na mumewe.
Mume wake alitumiwa ujembe huo na mtu asiyemjua na yeye akamtumia mkewe ,Ujumbe huo ulisomeka : " Mwambie mkeo aache kutembea na waume za watu kama wewe humtoshelezi basi mtafutie mwanaume mwingine akusaidie lakini sio mume wangu " ulimalizia ujumbe huo.
Source: Nifamishe
Mume wake alitumiwa ujembe huo na mtu asiyemjua na yeye akamtumia mkewe ,Ujumbe huo ulisomeka : " Mwambie mkeo aache kutembea na waume za watu kama wewe humtoshelezi basi mtafutie mwanaume mwingine akusaidie lakini sio mume wangu " ulimalizia ujumbe huo.
Source: Nifamishe