Amina na Mungu ambariki Raisi wetu J.Magufuli, ubarikiwe sana kwa ujumbe huu, ...
Wandugu si kila kitu ni siasa ..hebu tujaribu kutofautisha majukwaa tafadhali"Amina"
Mungu ailinde nchi yetu na awaumbue vibaraka wa mabeberu wenye kutamani kuvuruga nchi yetu.
Amina na Mungu ambariki Raisi wetu J.Magufuli, ubarikiwe sana kwa ujumbe huu, ...
"Amina"
Mungu ailinde nchi yetu na awaumbue vibaraka wa mabeberu wenye kutamani kuvuruga nchi yetu.
Kwenye hizo quote ulizoweka kuna Comment ya siasa hapo!?Wandugu si kila kitu ni siasa ..hebu tujaribu kutofautisha majukwaa tafadhali
Mtumishi Mshana Jr ameshakataa haya mambo ya siasa unayoleta kwenye ilijukwaa.MATAGA wazalendo vyeo/matumbo.
Amen to that.... Happy new month to you too Mshana Jr and be blessed!Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.
Happy New month.
AminaMaji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.
Happy New month.
Siyo rahisi hivyoRest in peace ccm Bosco regime must fall.
Sawa,naheshimu mawazo yako ya uminyaji wa haki na ubaguzi kwa sisiwengine.Nimesoma kuna kitu kikubwa sana kwenye huo ujumbe ....kinafikirisha