Ujumbe wa Masoud kipanya na Aliyosema leo Samia

Sidhani kama Mr Kirati yuko sahihi, kwa sababu mwenye uwezo wa kuliondoa tatizo husika si mtawala bali raia. Unless kama alimaanisha hao ^washangaao^ ni raia wa JMT.
 
Hivi Kipanya amespecialize kwenye katuni za kisiasa tu, tena zenye maudhui ya ulalamishi tu?

Siku akija na katuni yenye maudhui positive kuhusu Tanzania mnitag.
 
Hivi Kipanya amespecialize kwenye katuni za kisiasa tu, tena zenye maudhui ya ulalamishi tu?

Siku akija na katuni yenye maudhui positive kuhusu Tanzania mnitag.
Kwani hujaona Ile ya Tanga fresh, he vipi Ile ya mama mwenye nyumba kwenda kufunzwa udereva, kuogelea n.k.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…