zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Leo siku ya Pasaka na Ujumbe wangu ndo huo,Ukipendwa Nawe Pendeka,na Ukiitwa itika ili ucje ukaitika usipoitwa na kupenda usipo pendwa.
Mytake.kuweni waangalifu.
Mytake.kuweni waangalifu.
Nifanye nini ....bado sijapendeka
Kweli kila kitu na wakati wake...huu ndo wakati mzuri wa ujumbe kama huo. Bado konyagi hazijasambaratisha kichwa.
Kweli kila kitu na wakati wake...huu ndo wakati mzuri wa ujumbe kama huo. Bado konyagi hazijasambaratisha kichwa.
muda huu kila mtu ana percentage na element ya alcohol na wote mmelala