Ujumbe wa leo: Mama Mkwe

Ujumbe wa leo: Mama Mkwe

Miss Pirate

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2010
Posts
305
Reaction score
75
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
 
haswaa na tena ndio wavunjaji wakubwa wa nyumba zetu.
 
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.

Kuolewa kwako itakuwa ni bahati sana:glasses-nerdy:!!!
 
Inaelekea ulipo si kwema!!!
Ila usijumuishe wote kwani kunao wazuri kabisa tena wenye mapenzi mema kwa wakwe zao.
Chamsingi na wewe uonyeshe heshima kwake, usimwekee kinyongo, jifunze kusamehe.
Sidhani kama ukifanya hayo yote bado ataendelea kukuchukia????

 
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.

Una msongo wa mawazo... sio bure
 
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.
Apana shosti sio wote,wengine wanaubinadamu na wanapenda haki,nadhani inategemea vile unavyo mchukulia kumbuka sikuzote mapenzi ndio yatamfanya hata kama anaroho mbaya basi atabadilika nakwambia haya kwa kuyaona,mie na mkwe wangu tunaelewana sana tena sana sifanyi jamboo bila kumshirikisha kama mzazi na usisahau na wewe iko siku utakua mkwe kama yeye...
 
Tena kwa sie wanawake, mamamkwe siyo mama mama yako hata ukimbeba mgongoni hata umwogeshe. ukiwa na matatizo yako kimbilia kwenu ukijifanya kumshitaki mumeo kwa mama yake imekula kwako. Siyo mzazi wako yule na kamwe hawezi kukuelewa. Usipoteze muda kufanya hivyo.
Cha maana ni kumheshimu imetosha na usiweke vikolombwezo vingine.

Mmmmmmmmmmmmmmmh no comment!!!
 
Mama mkweeee.. Swadaktaaaaa nani kama mama mkweee..???

Unafanya mchezo ee.. Kama sio yeye mume ungempata wapi wewe??

We ujishaue kitaa nampenda baby wangu, ooh his handsome, responsible n blaaaaa..

Unafikir bila mama mkwee kumzaa na kukulelea ingekuwaje!
(Mungu amjalie maisha marefu my mama mkwe anipende asinipende, namheshimu na namthamini)

BTW I have a son too.. Ngoja nikalee vyema ka handsome boy kangu kwa ajili ya mkewe. Afu niije nipokeee za uso miee, but ntakuwa nshakamilisha wajibu wangu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkwe kuheshimiwa wajibu sababu wewe pia una mama jee mume asimuheshimu mzazi wako amuone kituko? mama mkwe wako ni mama yako pia chamsingi nikuomba mungu akupe mwenye kheir na wewe...na masikilizano ndani ya family..
 
Wewe Miss Pirate ndoa yenyewe bado, ushaanza kumlalamikia mama mkwe, ukiolewa utakaa kweli? Na hii ndo nini kitchen party kwa wadada?!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom