Ujumbe wa Jumapili toka kwa Godbless Lema: Kwanini tuko duniani

Ujumbe wa Jumapili toka kwa Godbless Lema: Kwanini tuko duniani

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,140
Reaction score
96,161
Usipokuwa makini katika maisha na kutafakari kwa kina, unaweza kujikuta unaishi bila kusudi. Ukizaliwa, unaishi kwa ajili ya kula, kunywa, mapenzi, kuzaa, kuzeeka na hatimaye kufa. Kukosa purpose ya maisha ni tatizo kubwa sana, na ndilo chimbuko la ujinga na upumbavu kutawala duniani.

Bila kusudi la kweli, haki na utu hakuna kitu chochote kinachoweza kuwa na maana. CCM ni mfano halisi wa andiko hili. Ni Chama kinacho haribu sana Taifa. Wana bidii ya kuficha uovu , mateso, mauaji kuliko kulinda na kutetea ukweli na utu. Hii ni hasara kwa Taifa lote na vizazi vijavyo. Wakati sadism inakua culture ya Nchi hakuna mtu anayeweza kuwa salama. Hata wao wenyewe. Muda utapiga kelele kubwa sana siku sio nyingi.

My take: CCM MNAISHI KWA AJILI YA KWENDA CHOONI KUNYA

Huyu kijana anatetea kwenda chooni kunya yeye na familia yake! AKILI YAKE NI MAVI, TENA UHARO

20260118_044537.jpg
 
Kwan ni nani huyu aliyetumbua macho na manguo ya maccm au ndo kabudi? Maana naye huwa anatumbua macho. Nasema ivi ccm ilaaniwe, laana iwe juu yao na vzazi vyao.
Kihongosi nadhani
 
Samia anachagua watu wa hovyo kabisa kwenye uongozi wa chama na serikali ili yeye aonekane nafuu. Mfano hai ni Kenan Kihongosi, Steven Wasira, Paul Makonda, Patrobas Katambi,Mwigulu Nchemba...., haya ni maingizo ya hovyo kabisa kwenye safu yake ya uongozi wa chama na serikali.
 
Back
Top Bottom