Ujumbe uliofichwa tangu mwanzo wa mwanadamu

Ujumbe uliofichwa tangu mwanzo wa mwanadamu

Mathayo anatoa ukoo wa kifalme/kisheria kupitia Yosefu mwana wa Yakobo
Luka anatoa ukoo wa damu kupitia Mariamu lakini anamwonyesha Yosefu kama “mwana wa Heli” (baba mkwe)

1. Luka hajataja kabisa Mariamu kama mzazi au ukoo wake
Luka 3:23 haisemi mahali popote kuwa ukoo huo ni wa Mariamu. Anasema wazi:
“Yesu alikuwa... mwana wa Yosefu, mwana wa Heli.”

2.Hakuna ushahidi wa moja kwa moja katika maandiko kwamba Luka anatoa ukoo wa Mariamu. Hii ni tafsiri ya baadaye ya watu wanaojaribu kupatanisha tofauti kama wewe Hamisi77
3.Sheria ya Kiyahudi haikuruhusu ukoo kupitia mwanamke
Katika tamaduni za Kiyahudi, nasaba ilipita kupitia wanaume si wanawake. Hivyo dai kuwa Luka anatoa ukoo wa Mariamu linapingana na mila ya Kiyahudi,na linaonekana kama juhudi ya kubuni maelezo ya upatanisho.

Yosefu hawezi kuwa na baba wawili*
Mathayo anasema baba wa Yosefu ni Yakobo
Luka anasema ni Heli
Kama Yesu hakuwa mwana wa damu wa Yosefu, basi ukoo wa Yosefu *hauna maana yoyote kwa Yesu — kisheria wala kwa damu.
Mkuu jipange upya ulete utetexi wenye mashiko sisi sio kondo kupokea Kila kitu
Hii AI bhana inawafanya mnakuwa mambumbu sana ,Uislamu hakika ni dini ya ovyo sana
 
Yesu anasema haya maneno kabla ya Allah, Kabla ya Muhamadi na kabla y Qurani:

Mathayo 2017
Hata Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,
18 Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi; nao watamhukumu afe;
19 kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibisha; na siku ya tatu atafufuka.
...............
Yohana 10:14
Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
17 Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
18 Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
............
Tukumbushane hapa kuwa Neno la Mungu linasema Yesu ni mtakatifu, maana hajawahi kutenda dhambi:
Na anasema kweli kuwa alisulibiwa na aliutoa uhai wake kwa hiari yake mwenyewe:
Miaka mia sita baadae anatokea mtu toka nchi ya mbali anasema Yesu hakusulubiwa:
Hivi hapa kwa akili nyepesi tu nani anasema kweli ?

Kwahiyo Muhamadi anatueleza kuwa Yesu alisema uwongo:
Masihi Mtakatifu aliongopa alipoelezea juu ya kifo chake mwenyewe:

Hivi akina Covax hivi mnatumia akili gani kuelewa taarifa sahihi na taarifa ya kughushi ?

Yaani mnaamini kabisa kuwa Yesu alikuwa anasema uwongo kuhusu maisha yake mwenyewe:
Na ndugu zake Yesu walisema uwongo kuhusu maisha ya ndugu yao Yesu:
Hadi wakacheza Filamu kuelezea maisha ya Ndugu yao Yesu Kristo:
Bado hamuamini

Munakuja kumwamini Muhamadi aliyekuja miaka 600 baadae, hakuwahi kufika Israeli (japo angepata habari flani za Yesu)

Ndio maana tunawaambia mambo mawili:
1: Muhamadi alikuwa ni tapeli tu hana utume wowote:
2: Muhamadi ni mtume wa Shetani, yaani ni Mpinga Kristo aliyejivika vazi la kondoo ili asigundulike kwa badhi ya watu aliolenga kuwapotosha:
Muhammad alikuwa tapeli wakutupwa
 
Kwa ufupi mkuu Hamisi 77 Majina kati ya Daudi hadi Yesu yanatofautiana kabisa si tofauti ndogo. Hii inaonyesha kuwa ukoo mmoja (au wote) haukuwa sahihi kihistoria, bali uliundwa kwa lengo la theolojia, si ukweli wa kihistoria.

Kudai kuwa Mathayo anaonyesha ukoo wa kisheria na Luka ukoo wa Mariamu ni tafsiri ya kulazimisha, isiyoungwa mkono na maandiko yenyewe. Tofauti hizo zinabaki kuwa changamoto kubwa kwa hoja ya uthibitisho wa kimasiha kupitia nasaba....... Bibulia imeja editing za binaadamu sio ufunuo wa Mungu kama wanavo dai.
 
Hii AI bhana inawafanya mnakuwa mambumbu sana ,Uislamu hakika ni dini ya ovyo sana
Mkuu hapo umejibu nini mkuu acha upuuzi Mimi situmie akili bandia kama wewe ndo canzo chako endelea TU
 
Kwa hiyo wewe unapingana na Alla wako alietambua vitabu vya injili ni mojawapo ya vitabu vitukufu vya Quran?
Mkuu hivyo vitabu vilisha haribiwa na binaadamu waliandika wenyewe kwa matakua Yao na kifuta maandishi ya Mungu.
 
Pongezi nyingi kwako ndugu
hamis77 kwa kulichambua Neno la Mungu katika kiwango bora kabisa:
Hao wengine walishasema kuwa hawaabudi tunaye mwabudu sisi:

Pia wamesema wazi kabisa wameruhusiwa kuongopa katika mambo matatu

Mambo ya Ndoa, Mambo vita na pale wanapoitetea dini yao:

Hivyo wasikuumize kichwa kwa kubishana nao, wao wanajua wanachokifanya:
 
Habari ya Wokovu Iliyofichwa Kwenye Ukoo wa Mwanzo 5

Biblia si kitabu cha hadithi za zamani pekee ni kitabu cha mpango wa Mungu ulioandikwa kabla hata hatujazaliwa.

Kila mstari, kila jina, kila kizazi, kimewekwa kwa makusudi. Na hapa, katika Mwanzo 5, tunakutana na moja ya siri za ajabu zaidi, majina ya ukoo wa kwanza wa wanadamu.

Hapa ndipo simulizi linapoanza:

Adamu akamzaa Seti,
Seti akamzaa Enoshi,
Enoshi akamzaa Kenani,
Kenani akamzaa Mahalaleli,
Mahalaleli akamzaa Yaredi,
Yaredi akamzaa Enoki,
Enoki akamzaa Methusela,
Methusela akamzaa Lameki,
Lameki akamzaa Nuhu.


Kwa haraka, unaweza kufikiri ni orodha ya majina ya kihistoria tu. Lakini Mungu, kwa hekima yake kuu, aliweka ujumbe wa wokovu uliojificha ndani yake.


Maana za majina haya

Adamu – Mwanadamu

Seti – Aliyechaguliwa / Aliyeteuliwa

Enoshi – Mwanadamu dhaifu / anayekufa

Kenani – Kupata / Kumiliki

Mahalaleli – Sifa ya Mungu

Yaredi – Kushuka

Enoki – Aliyejitakasa / Aliyejitolea

Methusela – Kifo kitakapokuja, italetwa

Lameki – Kukata tamaa / Maumivu makali

Nuhu – Pumziko / Faraja


Ukiunganisha maana hizo kulingana na mpangilio wa vizazi, unapata maneno yenye nguvu

Mwanadamu amechaguliwa, ingawa dhaifu, ili apate sifa ya Mungu. Mungu atashuka, akitakaswa, na kifo kitakapokuja, ataleta tumaini na pumziko.


Hii siyo bahati mbaya. Hii ni habari njema iliyoandikwa karne nyingi kabla Yesu hajazaliwa Bethlehemu.


Ndio maana tukisikia mtu anasema Yesu hakufa ,na bla bla nyingine tunacheka na kukuhurimia tu,

Ni vema kila mkristo awe msomaji wa neno ,ili usiweze kupotoshwa na wahuni wanaokwambia Yesu hakufa msalabani,

Fikiria hili, kabla hata Adamu hajakufa, Mungu alikuwa ameweka ujumbe huu wa wokovu ndani ya majina ya watoto wake., halafu Hadi anakuja Yesu kama mwanadamu ni miaka 4000 , then baada ya miaka 500 baada ya Yesu ,miaka 4500 baada ya Adam anakuja muarabu Muhammad anapotosha kwakusema Yesu hakufa msalabani,na bla blaa nyingine .

Hebu ona 👇

Mwanadamu – Hii ndiyo hali yetu sote. Tuliumbwa kwa mfano wa Mungu, lakini tukatenda dhambi.

Aliyechaguliwa – Mungu hakutuacha; alituchagua ili tupate neema.

Dhaifu – Tunakufa, tunavunjika, hatuwezi kujiokoa.

Kupata – Mungu alitutafuta na kutununua kwa gharama kubwa.

Sifa ya Mungu – Kusudi letu ni kuonyesha utukufu wake.

Kushuka – Yesu alishuka kutoka mbinguni, akaingia katika ulimwengu wa giza.

Aliyejitakasa – Aliishi maisha matakatifu bila dhambi.

Kifo kitakapokuja – Msalaba ulikuwa mpango wake tangu mwanzo.

Kukata tamaa – Alibeba uchungu wetu wote, mateso yetu yote.

Pumziko – Katika yeye, tunapata amani na uzima wa milele.



Ni kana kwamba Mungu anasema:

“Niliwaumba, nikawachagua, najua udhaifu wenu, lakini nilikuja kuwaletea wokovu. Nilishuka kwenu, nikajitakasa, nikafa kwa ajili yenu, nikalipa maumivu yenu, ili muingie katika pumziko langu.”


Huu ndio moyo wa Injili. Na cha ajabu, ulifichwa waziwazi katika kurasa za mwanzo kabisa za Biblia.

Mwanzo 5 sio tu orodha ya majina ya wazee wa kale ni barua ya upendo kutoka kwa Mungu.

Ni ushahidi kwamba mpango wa wokovu haukuanza kwa bahati, bali ulikuwa umepangwa tangu mwanzo wa historia ya mwanadamu iwapo ataanguka dhambini .

Yesu Kristo ndiye Adamu wa pili, aliyechaguliwa kutuokoa, aliyejishusha, akafa, na sasa anatupa pumziko la milele.

Na kama ilivyokuwa kwa Nuhu jina lake likimaanisha “faraja” – wale waliokuwa ndani ya safina waliokoka gharika, vivyo hivyo, wote walio “ndani ya Kristo” wataokolewa katika hukumu ijayo.

BWANA YESU ASIFIWE
Unadai ni maneno ya Muhammadi na hizi injili vipi

1. "Injili ya Tomaso" (Gospel of Thomas)
Haielezei kusulubiwa wala ufufuo.
Inahusisha maneno ya Yesu kama mwalimu wa hekima si Mungu.

2. "Injili ya Barnaba"
Yesu anatajwa kuwa mtume tu, si Mwana wa Mungu.
Inapinga kusulubiwa kwake, sawa na Qur’an.

3. "Injili ya Ebionites"
Ilikuwa ya Wakristo wa Kiyahudi waliomkataa Paulo na imani ya Utatu.

4. "Injili ya Wamisri" (Egyptians Gospel)
Ilitumika na wafuasi wa mapokeo ya kiroho waliopinga mafundisho ya uungu wa Yesu.

5. "Injili ya Filipo" (Gospel of Philip)
Ina maelezo ya Yesu kama mtu wa kiroho zaidi, si Mungu.
 
Kwa hiyo wewe unapingana na Alla wako alietambua vitabu vya injili ni mojawapo ya vitabu vitukufu vya Quran?
Qur'an inatambua Injili na Zaburi ni kweli ziliteremshwa na Mungu, lakini haithibitishi kuwa maandiko yaliyopo sasa yako salama kikamilifu kutokana na mabadiliko ya kibinadamu.

Qur’an imeonya kuhusu mabadiliko katika maandiko:
"Wanabadili maneno kutoka mahali pake..." (Al-Ma’idah 5:13)

"Basi ole wao wanaoandika Kitabu kwa mikono yao kisha wakasema Hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu..." (Al-Baqarah 2:79)


Qur'an inathibitisha kuwa maandiko ya awali yalikuwa ya kweli lakini wanadamu walibadili baadhi ya maneno au kuyapotosha. Kwa hiyo Qur'an iliteremshwa kuwa kitabu cha mwisho na mrekebishaji (muhayminan ‘alayhi):
"Na tumekuteremshia Kitabu kwa haki kikithibitisha yaliyo kabla yake katika vitabu, na kuwa mlinzi juu yake..." (Al-Ma'idah 5:48)
 
Hii AI bhana inawafanya mnakuwa mambumbu sana ,Uislamu hakika ni dini ya ovyo sana
AI ni zana au kifaa cha kuku saidia kufikia maudhui au vitabu mbalimbali kwa wakati kwahiyo nichaguo lako kutembea kwa miguu au kupanda usafiri.
 
Kwahiyo Yesu alikua mwanadamu na alikufa msalabani?
Yesu hakusulubiwa kwa mujibu wa injili ya Barnaba Yuda ndiye aliyesulubiwa badala yake

Katika Sura ya 217, Injili ya Barnaba inasimulia kwamba Yuda Iskariote alibadilishwa sura na kuonekana kama Yesu, na hivyo alikamatwa na kusulubiwa badala ya Yesu. Yesu mwenyewe alichukuliwa mbinguni na Mungu.

inalingana na aya za Qur’an (4:157-158) zinazosema kwamba Yesu hakusulubiwa, bali ilionekana hivyo kwa watu.
 
Yesu hakusulubiwa kwa mujibu wa injili ya Barnaba Yuda ndiye aliyesulubiwa badala yake

Katika Sura ya 217, Injili ya Barnaba inasimulia kwamba Yuda Iskariote alibadilishwa sura na kuonekana kama Yesu, na hivyo alikamatwa na kusulubiwa badala ya Yesu. Yesu mwenyewe alichukuliwa mbinguni na Mungu.

inalingana na aya za Qur’an (4:157-158) zinazosema kwamba Yesu hakusulubiwa, bali ilionekana hivyo kwa watu.
hamis77
 
Sasa jibu yupi Iko sahihi, kwasabbu mtu hawezi kua na baba wa will jibu kibibulia sio hadeeth na hisia zako mkuu ushahidi wa maandiko ni muhimu sana.
Bila kayfa
 
Yesu anasema haya maneno kabla ya Allah, Kabla ya Muhamadi na kabla y Qurani:

Mathayo 2017
Hata Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,
18 Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi; nao watamhukumu afe;
19 kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibisha; na siku ya tatu atafufuka.
...............
Yohana 10:14
Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
17 Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
18 Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
............
Tukumbushane hapa kuwa Neno la Mungu linasema Yesu ni mtakatifu, maana hajawahi kutenda dhambi:
Na anasema kweli kuwa alisulibiwa na aliutoa uhai wake kwa hiari yake mwenyewe:
Miaka mia sita baadae anatokea mtu toka nchi ya mbali anasema Yesu hakusulubiwa:
Hivi hapa kwa akili nyepesi tu nani anasema kweli ?

Kwahiyo Muhamadi anatueleza kuwa Yesu alisema uwongo:
Masihi Mtakatifu aliongopa alipoelezea juu ya kifo chake mwenyewe:

Hivi akina Covax hivi mnatumia akili gani kuelewa taarifa sahihi na taarifa ya kughushi ?

Yaani mnaamini kabisa kuwa Yesu alikuwa anasema uwongo kuhusu maisha yake mwenyewe:
Na ndugu zake Yesu walisema uwongo kuhusu maisha ya ndugu yao Yesu:
Hadi wakacheza Filamu kuelezea maisha ya Ndugu yao Yesu Kristo:
Bado hamuamini

Munakuja kumwamini Muhamadi aliyekuja miaka 600 baadae, hakuwahi kufika Israeli (japo angepata habari flani za Yesu)

Ndio maana tunawaambia mambo mawili:
1: Muhamadi alikuwa ni tapeli tu hana utume wowote:
2: Muhamadi ni mtume wa Shetani, yaani ni Mpinga Kristo aliyejivika vazi la kondoo ili asigundulike kwa badhi ya watu aliolenga kuwapotosha:
Nani kakwambia hayo ni maneno ya yesu?
 
Back
Top Bottom