Yesu anasema haya maneno kabla ya Allah, Kabla ya Muhamadi na kabla y Qurani:
Mathayo 2017
Hata Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,
18 Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi; nao watamhukumu afe;
19 kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibisha; na siku ya tatu atafufuka.
...............
Yohana 10:14
Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
17 Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
18 Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
............
Tukumbushane hapa kuwa Neno la Mungu linasema Yesu ni mtakatifu, maana hajawahi kutenda dhambi:
Na anasema kweli kuwa alisulibiwa na aliutoa uhai wake kwa hiari yake mwenyewe:
Miaka mia sita baadae anatokea mtu toka nchi ya mbali anasema Yesu hakusulubiwa:
Hivi hapa kwa akili nyepesi tu nani anasema kweli ?
Kwahiyo Muhamadi anatueleza kuwa Yesu alisema uwongo:
Masihi Mtakatifu aliongopa alipoelezea juu ya kifo chake mwenyewe:
Hivi akina
Covax hivi mnatumia akili gani kuelewa taarifa sahihi na taarifa ya kughushi ?
Yaani mnaamini kabisa kuwa Yesu alikuwa anasema uwongo kuhusu maisha yake mwenyewe:
Na ndugu zake Yesu walisema uwongo kuhusu maisha ya ndugu yao Yesu:
Hadi wakacheza Filamu kuelezea maisha ya Ndugu yao Yesu Kristo:
Bado hamuamini
Munakuja kumwamini Muhamadi aliyekuja miaka 600 baadae, hakuwahi kufika Israeli (japo angepata habari flani za Yesu)
Ndio maana tunawaambia mambo mawili:
1: Muhamadi alikuwa ni tapeli tu hana utume wowote:
2: Muhamadi ni mtume wa Shetani, yaani ni Mpinga Kristo aliyejivika vazi la kondoo ili asigundulike kwa badhi ya watu aliolenga kuwapotosha: