Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 54,429
- 101,701
Bibulia ndiyo mnavyokatamka ka kuluani?Mkuu acha matusi jibu swali Yosefu ana Baba wawili kama bibulia inavo kinzana mathayo vs Luka hupi sahihi?
Bibulia ndiyo mnavyokatamka ka kuluani?Mkuu acha matusi jibu swali Yosefu ana Baba wawili kama bibulia inavo kinzana mathayo vs Luka hupi sahihi?
Unahangaika na huto msaka bikra!Yaani Mimi nikuogope wewe ?😂😂😂
Wala hakuna makosa hapo, Tena nimewahi kulielezea humu
Wasomi wa theologia wanajua hili
Kila injili imeandikwa kwa namna yake
Mathayo aliwaandikia Wayahudi ,hivo hata ukoo wa Yesu anarejea nasaba ya Daudi
Tofaut na Luka ,
Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu.
Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.
Luka, kwa upande mwingine, aliandika kwa hadhira ya watu wa Mataifa (wasio Wayahudi), na lengo lake lilikuwa kuonyesha asili ya kibinadamu ya Yesu na uhusiano wake wa kweli na wanadamu wote. Ndiyo maana Luka anaonekana kutumia ukoo wa Mariamu, akimtaja Yosefu kama “mwana wa Heli” kwa sababu katika mila za Kiyahudi mwana wa kiume wa mke alihesabiwa kama mwana wa baba mkwe. Heli alikuwa baba wa Mariamu, hivyo Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.
Mkuu bibulia nimeisoma kukupita mara 100 sema tu tofauti yangu na wewe Mimi sio kondo anae pokea Kila kitu bila kuchambuaMzee jitahidi kusoma vema acha kuokoteza mistari kama wazee wa uamsho agu kichwani zero
Afu hoja iko hapa UISLAM WAKO HUO HUO UNAJINASIBU UNAIAMINI INJILI hili unakubaliana nalo au nalo unakana???😆
Kwa hiyo wewe unapingana na Alla wako alietambua vitabu vya injili ni mojawapo ya vitabu vitukufu vya Quran?Mkuu bibulia nimeisoma kukupita mara 100 sema tu tofauti yangu na wewe Mimi sio kondo anae pokea Kila kitu bila kuchambua
Unaamini mwamedi kukabwa na kiumbe kisichojulikana pangoni ambacho baadaye waraqah anabashiri kuwa huyo atakuwa Gibril na kumpa maneno ya munguMkuu bibulia nimeisoma kukupita mara 100 sema tu tofauti yangu na wewe Mimi sio kondo anae pokea Kila kitu bila kuchambua
SWALI LA MSINGIMkuu bibulia nimeisoma kukupita mara 100 sema tu tofauti yangu na wewe Mimi sio kondo anae pokea Kila kitu bila kuchambua
Huyo hana akili😆😆😆Kwa hiyo wewe unapingana na Alla wako alietambua vitabu vya injili ni mojawapo ya vitabu vitukufu vya Quran?
NARUDIA Tena Biblia sio Quran ambayo Haina hata jina la mke wa Adam ,biblia ni PanaSasa jibu yupi Iko sahihi, kwasabbu mtu hawezi kua na baba wa will jibu kibibulia sio hadeeth na hisia zako mkuu ushahidi wa maandiko ni muhimu sana.
Tuwapate wapi watu kama wewe ambaye MUNGU amekaa ndani yako!!! Hongera sana Kwa kujibu maswali ya huyo mjinga,Yaani Mimi nikuogope wewe ?😂😂😂
Wala hakuna makosa hapo, Tena nimewahi kulielezea humu
Wasomi wa theologia wanajua hili
Kila injili imeandikwa kwa namna yake
Mathayo aliwaandikia Wayahudi ,hivo hata ukoo wa Yesu anarejea nasaba ya Daudi
Tofaut na Luka ,
Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu.
Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.
Luka, kwa upande mwingine, aliandika kwa hadhira ya watu wa Mataifa (wasio Wayahudi), na lengo lake lilikuwa kuonyesha asili ya kibinadamu ya Yesu na uhusiano wake wa kweli na wanadamu wote. Ndiyo maana Luka anaonekana kutumia ukoo wa Mariamu, akimtaja Yosefu kama “mwana wa Heli” kwa sababu katika mila za Kiyahudi mwana wa kiume wa mke alihesabiwa kama mwana wa baba mkwe. Heli alikuwa baba wa Mariamu, hivyo Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.
Narudia Hilo mara ya mwisho kati ya hao wawili yupi sahihi alio tumia ubini wa Mariam au alietumia ubini wa jakobo hatuwezi kua na majibi ya baba wawili mkuu nielewe toa msimamo wa roho mtakatifu acha kuzungusha.NARUDIA Tena Biblia sio Quran ambayo Haina hata jina la mke wa Adam ,biblia ni Pana
Mathayo anaonyesha ukoo wa kisheria wa Yesu kupitia Yusufu mwana wa Yakobo, ili kuthibitisha haki yake ya kifalme na kutimiza unabii wa Wayahudi.
Mathayo 1:16 inasema
"Yakobo alimzaa Yosefu, mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo."
Hapa, Yusufu anachukuliwa kama baba wa kisheria wa Yesu, ingawa si mzazi wake wa damu. Hii ni muhimu kwa Wayahudi kwa sababu urithi na haki za kifalme hupitia nasaba ya baba wa kisheria.,
Kwa upande mwingine, Luka anaonyesha ukoo wa damu wa Yesu kupitia Mariamu, akimtaja Yosefu kama mwana wa Heli, ambaye ni baba mkwe wa Yesu.
Luka 3:23 inasema
"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
Luka anafuata nasaba ya asili ya kibinadamu wa Yesu kupitia mama yake, ili kuonyesha uhusiano wake na wanadamu wote.
Kwenu wewe hapo huna baba wawili hadi kumi mbona kawaida hiyo kwenye maisha,unaweza kuwa na Baba wa jambo,tunao baba wakubwa kaka wa baba na tunao baba wadogo wadogo zake baba. Tunao baba wakubwa na wadogo ambao ni waume wa mama wakubwa na mama wadogo. Aaaah mbombo ngafu.Mkuu acha matusi jibu swali Yosefu ana Baba wawili kama bibulia inavo kinzana mathayo vs Luka hupi sahihi?
Wote sahihi, mbona nimefafanua ,au una majibu yako?Narudia Hilo mara ya mwisho kati ya hao wawili yupi sahihi alio tumia ubini wa Mariam au alietumia ubini wa jakobo hatuwezi kua na majibi ya baba wawili mkuu nielewe toa msimamo wa roho mtakatifu acha kuzungusha.
Acha hasira mkuu hatija Taja Qur'an popote huwezi kua na majibu mawili.Wote sahihi, mbona nimefafanua ,au una majibu yako?
Basi Quran yako itupe nasaba ya Yesu
NARUDIA Tena Biblia sio Quran ambayo Haina hata jina la mke wa Adam ,biblia ni Pana
Mathayo anaonyesha ukoo wa kisheria wa Yesu kupitia Yusufu mwana wa Yakobo, ili kuthibitisha haki yake ya kifalme na kutimiza unabii wa Wayahudi.
Mathayo 1:16 inasema
"Yakobo alimzaa Yosefu, mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo."
Hapa, Yusufu anachukuliwa kama baba wa kisheria wa Yesu, ingawa si mzazi wake wa damu. Hii ni muhimu kwa Wayahudi kwa sababu urithi na haki za kifalme hupitia nasaba ya baba wa kisheria.,
Kwa upande mwingine, Luka anaonyesha ukoo wa damu wa Yesu kupitia Mariamu, akimtaja Yosefu kama mwana wa Heli, ambaye ni baba mkwe wa Yesu.
Luka 3:23 inasema
"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
Luka anafuata nasaba ya asili ya kibinadamu wa Yesu kupitia mama yake, ili kuonyesha uhusiano wake na wanadamu wote.