Ujumbe uliofichwa tangu mwanzo wa mwanadamu

Ujumbe uliofichwa tangu mwanzo wa mwanadamu

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,640
Habari ya Wokovu Iliyofichwa Kwenye Ukoo wa Mwanzo 5

Biblia si kitabu cha hadithi za zamani pekee ni kitabu cha mpango wa Mungu ulioandikwa kabla hata hatujazaliwa.

Kila mstari, kila jina, kila kizazi, kimewekwa kwa makusudi. Na hapa, katika Mwanzo 5, tunakutana na moja ya siri za ajabu zaidi, majina ya ukoo wa kwanza wa wanadamu.

Hapa ndipo simulizi linapoanza:

Adamu akamzaa Seti,
Seti akamzaa Enoshi,
Enoshi akamzaa Kenani,
Kenani akamzaa Mahalaleli,
Mahalaleli akamzaa Yaredi,
Yaredi akamzaa Enoki,
Enoki akamzaa Methusela,
Methusela akamzaa Lameki,
Lameki akamzaa Nuhu.


Kwa haraka, unaweza kufikiri ni orodha ya majina ya kihistoria tu. Lakini Mungu, kwa hekima yake kuu, aliweka ujumbe wa wokovu uliojificha ndani yake.


Maana za majina haya

Adamu – Mwanadamu

Seti – Aliyechaguliwa / Aliyeteuliwa

Enoshi – Mwanadamu dhaifu / anayekufa

Kenani – Kupata / Kumiliki

Mahalaleli – Sifa ya Mungu

Yaredi – Kushuka

Enoki – Aliyejitakasa / Aliyejitolea

Methusela – Kifo kitakapokuja, italetwa

Lameki – Kukata tamaa / Maumivu makali

Nuhu – Pumziko / Faraja


Ukiunganisha maana hizo kulingana na mpangilio wa vizazi, unapata maneno yenye nguvu

Mwanadamu amechaguliwa, ingawa dhaifu, ili apate sifa ya Mungu. Mungu atashuka, akitakaswa, na kifo kitakapokuja, ataleta tumaini na pumziko.


Hii siyo bahati mbaya. Hii ni habari njema iliyoandikwa karne nyingi kabla Yesu hajazaliwa Bethlehemu.


Ndio maana tukisikia mtu anasema Yesu hakufa ,na bla bla nyingine tunacheka na kukuhurimia tu,

Ni vema kila mkristo awe msomaji wa neno ,ili usiweze kupotoshwa na wahuni wanaokwambia Yesu hakufa msalabani,

Fikiria hili, kabla hata Adamu hajakufa, Mungu alikuwa ameweka ujumbe huu wa wokovu ndani ya majina ya watoto wake., halafu Hadi anakuja Yesu kama mwanadamu ni miaka 4000 , then baada ya miaka 500 baada ya Yesu ,miaka 4500 baada ya Adam anakuja muarabu Muhammad anapotosha kwakusema Yesu hakufa msalabani,na bla blaa nyingine .

Hebu ona 👇

Mwanadamu – Hii ndiyo hali yetu sote. Tuliumbwa kwa mfano wa Mungu, lakini tukatenda dhambi.

Aliyechaguliwa – Mungu hakutuacha; alituchagua ili tupate neema.

Dhaifu – Tunakufa, tunavunjika, hatuwezi kujiokoa.

Kupata – Mungu alitutafuta na kutununua kwa gharama kubwa.

Sifa ya Mungu – Kusudi letu ni kuonyesha utukufu wake.

Kushuka – Yesu alishuka kutoka mbinguni, akaingia katika ulimwengu wa giza.

Aliyejitakasa – Aliishi maisha matakatifu bila dhambi.

Kifo kitakapokuja – Msalaba ulikuwa mpango wake tangu mwanzo.

Kukata tamaa – Alibeba uchungu wetu wote, mateso yetu yote.

Pumziko – Katika yeye, tunapata amani na uzima wa milele.



Ni kana kwamba Mungu anasema:

“Niliwaumba, nikawachagua, najua udhaifu wenu, lakini nilikuja kuwaletea wokovu. Nilishuka kwenu, nikajitakasa, nikafa kwa ajili yenu, nikalipa maumivu yenu, ili muingie katika pumziko langu.”


Huu ndio moyo wa Injili. Na cha ajabu, ulifichwa waziwazi katika kurasa za mwanzo kabisa za Biblia.

Mwanzo 5 sio tu orodha ya majina ya wazee wa kale ni barua ya upendo kutoka kwa Mungu.

Ni ushahidi kwamba mpango wa wokovu haukuanza kwa bahati, bali ulikuwa umepangwa tangu mwanzo wa historia ya mwanadamu iwapo ataanguka dhambini .

Yesu Kristo ndiye Adamu wa pili, aliyechaguliwa kutuokoa, aliyejishusha, akafa, na sasa anatupa pumziko la milele.

Na kama ilivyokuwa kwa Nuhu jina lake likimaanisha “faraja” – wale waliokuwa ndani ya safina waliokoka gharika, vivyo hivyo, wote walio “ndani ya Kristo” wataokolewa katika hukumu ijayo.

BWANA YESU ASIFIWE
 
Mkuu jibu hili kwanza
Kweli Yosefu ana baba wa will? Bibulia ni kama comedy store.

Mathayo tena yuko kazini!
Mtoza ushuru (Mathayo) aliandika ukoo wa Yesu, akisema: "Yakobo alimzaa Yosefu mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo." (Mathayo 1:16)

Lakini Mathayo alisita moja kwa moja kusema Yosefu ndiye baba wa Yesu. Luka alikuwa makini zaidi, akijitenga na ushuhuda huo, akasema:

*"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
(Luka 3:23)
Katika “Diatessaron” yake, jaribio la kuoanisha Injili, *Tatian mwenyewe alishindwa kupatanisha ukoo wa Mathayo na wa Luka.
Lakini ni nani ataweza, kama hakuna ukoo halisi? Hata majina ya babu wa Yesu ni tofauti
Je, Wakristo wanaamini kweli kwamba Yosefu, ambaye alikuwa na baba wawili tofauti, ndiye baba wa Yesu?

Ujumbe huu unahoji utofauti kati ya ukoo wa Yesu katika Injili ya Mathayo na Luka, na kuleta changamoto ya kueleweka kwa dhana ya Yosefu kuwa na "baba wawili" (Yakobo kwa Mathayo, Heli kwa Luka).

Mwenye kua na elimu zaidi na hili tafadhali tufafanulie bila kutusi au kudhihaki Imani nyingine.

Quote Reply
Report Edit
 
Mkuu jibu hili kwanza
Kweli Yosefu ana baba wa will? Bibulia ni kama comedy store.

Mathayo tena yuko kazini!
Mtoza ushuru (Mathayo) aliandika ukoo wa Yesu, akisema: "Yakobo alimzaa Yosefu mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo." (Mathayo 1:16)

Lakini Mathayo alisita moja kwa moja kusema Yosefu ndiye baba wa Yesu. Luka alikuwa makini zaidi, akijitenga na ushuhuda huo, akasema:

*"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
(Luka 3:23)
Katika “Diatessaron” yake, jaribio la kuoanisha Injili, *Tatian mwenyewe alishindwa kupatanisha ukoo wa Mathayo na wa Luka.
Lakini ni nani ataweza, kama hakuna ukoo halisi? Hata majina ya babu wa Yesu ni tofauti
Je, Wakristo wanaamini kweli kwamba Yosefu, ambaye alikuwa na baba wawili tofauti, ndiye baba wa Yesu?

Ujumbe huu unahoji utofauti kati ya ukoo wa Yesu katika Injili ya Mathayo na Luka, na kuleta changamoto ya kueleweka kwa dhana ya Yosefu kuwa na "baba wawili" (Yakobo kwa Mathayo, Heli kwa Luka).

Mwenye kua na elimu zaidi na hili tafadhali tufafanulie bila kutusi au kudhihaki Imani nyingine.

Quote Reply
Report Edit
Wewe ni punguani.

Unaacha kula nguruwe ili uende kuua mkristo upate malaya siku ukifa.
 
Mkuu jibu hili kwanza
Kweli Yosefu ana baba wa will? Bibulia ni kama comedy store.

Mathayo tena yuko kazini!
Mtoza ushuru (Mathayo) aliandika ukoo wa Yesu, akisema: "Yakobo alimzaa Yosefu mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo." (Mathayo 1:16)

Lakini Mathayo alisita moja kwa moja kusema Yosefu ndiye baba wa Yesu. Luka alikuwa makini zaidi, akijitenga na ushuhuda huo, akasema:

*"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
(Luka 3:23)
Katika “Diatessaron” yake, jaribio la kuoanisha Injili, *Tatian mwenyewe alishindwa kupatanisha ukoo wa Mathayo na wa Luka.
Lakini ni nani ataweza, kama hakuna ukoo halisi? Hata majina ya babu wa Yesu ni tofauti
Je, Wakristo wanaamini kweli kwamba Yosefu, ambaye alikuwa na baba wawili tofauti, ndiye baba wa Yesu?

Ujumbe huu unahoji utofauti kati ya ukoo wa Yesu katika Injili ya Mathayo na Luka, na kuleta changamoto ya kueleweka kwa dhana ya Yosefu kuwa na "baba wawili" (Yakobo kwa Mathayo, Heli kwa Luka).

Mwenye kua na elimu zaidi na hili tafadhali tufafanulie bila kutusi au kudhihaki Imani nyingine.

Quote Reply
Report Edit
Kaamzishe mada yako
 
Jibu si inaingilia na mada yako ya kuonyesha lineage mkuu husiogope swali jibu TU, tukiwambia kwamba Bibulia imejaa madudu hamwezi kuitetea mnatuona kama Iblisi Sasa jibu Hilo acha kukuepa.
Yaani Mimi nikuogope wewe ?😂😂😂

Wala hakuna makosa hapo, Tena nimewahi kulielezea humu

Wasomi wa theologia wanajua hili


Kila injili imeandikwa kwa namna yake

Mathayo aliwaandikia Wayahudi ,hivo hata ukoo wa Yesu anarejea nasaba ya Daudi

Tofaut na Luka ,

Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu.

Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.

Luka, kwa upande mwingine, aliandika kwa hadhira ya watu wa Mataifa (wasio Wayahudi), na lengo lake lilikuwa kuonyesha asili ya kibinadamu ya Yesu na uhusiano wake wa kweli na wanadamu wote. Ndiyo maana Luka anaonekana kutumia ukoo wa Mariamu, akimtaja Yosefu kama “mwana wa Heli” kwa sababu katika mila za Kiyahudi mwana wa kiume wa mke alihesabiwa kama mwana wa baba mkwe. Heli alikuwa baba wa Mariamu, hivyo Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.
 
Mkuu acha matusi jibu swali Yosefu ana Baba wawili kama bibulia inavo kinzana mathayo vs Luka hupi sahihi?
Hawakinzani, biblia sio Quran Mzee,

Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.

Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu. Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.
 
Mwisho wa siku Kila goti litapigwa mbele ya mfalme Yesu, hata Mudi anasubiri hukumu yake mbele ya Yesu.
Mudy anasubiria hukumu yake ,

Anasema hajui atafanywa nini yeye na wanaomfata
 
Mkuu jibu hili kwanza
Kweli Yosefu ana baba wa will? Bibulia ni kama comedy store.

Mathayo tena yuko kazini!
Mtoza ushuru (Mathayo) aliandika ukoo wa Yesu, akisema: "Yakobo alimzaa Yosefu mume wa Mariamu, ambaye alimzaa Yesu aitwaye Kristo." (Mathayo 1:16)

Lakini Mathayo alisita moja kwa moja kusema Yosefu ndiye baba wa Yesu. Luka alikuwa makini zaidi, akijitenga na ushuhuda huo, akasema:

*"Yesu alikuwa na umri wa kama miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, mwana wa Heli."
(Luka 3:23)
Katika “Diatessaron” yake, jaribio la kuoanisha Injili, *Tatian mwenyewe alishindwa kupatanisha ukoo wa Mathayo na wa Luka.
Lakini ni nani ataweza, kama hakuna ukoo halisi? Hata majina ya babu wa Yesu ni tofauti
Je, Wakristo wanaamini kweli kwamba Yosefu, ambaye alikuwa na baba wawili tofauti, ndiye baba wa Yesu?

Ujumbe huu unahoji utofauti kati ya ukoo wa Yesu katika Injili ya Mathayo na Luka, na kuleta changamoto ya kueleweka kwa dhana ya Yosefu kuwa na "baba wawili" (Yakobo kwa Mathayo, Heli kwa Luka).

Mwenye kua na elimu zaidi na hili tafadhali tufafanulie bila kutusi au kudhihaki Imani nyingine.

Quote Reply
Report Edit
KWA AKILI YA KAWAIDA KABISA BIBLIA NI WAY BETTER THAT ULE UCHAFU QURAN

Uislam ni dini kanjanja iloletwa kwa kuokoteza okoteza maandiko toka upagani na kwenye hiyo hiyo biblia wamepita pia

Afu unasahau kuwa uislam unaimini INJILI pia hizo hizo walizoandika kina Mathayo😆😆😆
 
Yaani Mimi nikuogope wewe ?😂😂😂

Wala hakuna makosa hapo, Tena nimewahi kulielezea humu

Wasomi wa theologia wanajua hili


Kila injili imeandikwa kwa namna yake

Mathayo aliwaandikia Wayahudi ,hivo hata ukoo wa Yesu anarejea nasaba ya Daudi

Tofaut na Luka ,

Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu.

Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.

Luka, kwa upande mwingine, aliandika kwa hadhira ya watu wa Mataifa (wasio Wayahudi), na lengo lake lilikuwa kuonyesha asili ya kibinadamu ya Yesu na uhusiano wake wa kweli na wanadamu wote. Ndiyo maana Luka anaonekana kutumia ukoo wa Mariamu, akimtaja Yosefu kama “mwana wa Heli” kwa sababu katika mila za Kiyahudi mwana wa kiume wa mke alihesabiwa kama mwana wa baba mkwe. Heli alikuwa baba wa Mariamu, hivyo Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.
Sasa jibu yupi Iko sahihi, kwasabbu mtu hawezi kua na baba wa will jibu kibibulia sio hadeeth na hisia zako mkuu ushahidi wa maandiko ni muhimu sana.
 
Hawakinzani, biblia sio Quran Mzee,

Luka anafuata nasaba ya Yesu kwa damu kupitia Nathan, mwana mwingine wa Daudi, badala ya Solomoni.

Mathayo aliandika Injili yake kwa hadhira ya Kiyahudi, akilenga kuthibitisha kwamba Yesu ni Mwana wa Daudi kisheria, kupitia Yosefu kama mrithi wa kisheria wa ukoo wa kifalme. Kwa Wayahudi, urithi na haki za kifamilia zilipitia kupitia kwa baba wa kisheria, hata kama hakuhusika katika kuzaliwa kwa damu. Ndiyo maana Mathayo anaanza ukoo wake na Abrahamu na kupitia mstari wa kifalme wa Solomoni hadi Yosefu, akionyesha uhalali wa Yesu kama Masiha kwa mujibu wa unabii wa Kiyahudi.
KAMA HAJAELEWA HAPA ACHANA NAE INAONESHA BADO HAJADANGANYWA VEMA NA MASHEKHE WAKE
 
KWA AKILI YA KAWAIDA KABISA BIBLIA NI WAY BETTER THAT ULE UCHAFU QURAN

Uislam ni dini kanjanja iloletwa kwa kuokoteza okoteza maandiko toka upagani na kwenye hiyo hiyo biblia wamepita pia

Afu unasahau kuwa uislam unaimini INJILI pia hizo hizo walizoandika kina Mathayo😆😆😆
Mkuu naona unajibu kwa jaziba na mhemuko huna ushahidi wowote, bibulia Ina kinzana mara kwa mara umetumia vigezo gani kupima.
 
Mkuu naona unajibu kwa jaziba na mhemuko huna ushahidi wowote, bibulia Ina kinzana mara kwa mara umetumia vigezo gani kupima.
Mzee jitahidi kusoma vema acha kuokoteza mistari kama wazee wa uamsho agu kichwani zero

Afu hoja iko hapa UISLAM WAKO HUO HUO UNAJINASIBU UNAIAMINI INJILI hili unakubaliana nalo au nalo unakana???😆
 
Back
Top Bottom