Ujumbe kwa wote waliounga mkono juhudi...

Ujumbe kwa wote waliounga mkono juhudi...

Mfiaukweli

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2018
Posts
5,636
Reaction score
8,779
Kwenu nyote mliohama vyama vyenu (haijalishi ni chama gani ulikotoka na chama gani ulihamia) naomba jibu swali hili (ukipenda);
1. Kitu kipi kilikufanya uwe kwenye chama ulichokuwa nacho kabla hujajiunga kwingine?
2. Na ulipoamua kuunga mkono juhudi; kipi kilichobadilika ulipotoka na kule ulipoingia?
 
Umalaya tuu
Nchi ina wadangaji rundo
Jua na Wadangwaji kibao
Tumechoka ni usaliti huo

Alafu huo umalaya sasa 99%ni mamen..hayaoni hata aibu...yanawekewa mitego yanaingia king!dume zima kuhongwa ili lisaliti wenzake!mafedhuli mno haya mambwa! Shame on them! Majitu yanamna hii huyapigii kura acha familia yake impeleke bungeni!
 
Alafu huo umalaya sasa 99%ni mamen..hayaoni hata aibu...yanawekewa mitego yanaingia king!dume zima kuhongwa ili lisaliti wenzake!mafedhuli mno haya mambwa! Shame on them! Majitu yanamna hii huyapigii kura acha familia yake impeleke bungeni!
Mkuu poverty ni mbaya sana we isikie tu kuna wakati anafanya maamuz magumu ilikuokoa jahaz nyumban mke mwenyewe wa digital kila kitu pesa....
Mtu onee huruma wanaumee
 
we dogo kakojoe ulale, ya ngoswe muachie ngoswe.
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Back
Top Bottom