Hii imeshakuwa shida sanaMdau anasema , tafadhali Sana usialike watafutaji wa kazi kwenye usaili Kama ulipanga kuitoa nafasi hiyo ya kazi kwa ndugu jamaa au marafiki. Wapo wanaokuja katika usaili kwa Nauli za kuazima Tena kwa umbali mrefu😭 imenihuzunisha SanaView attachment 2935691
HahaaSasa watapata wapi ushahidi kuwa huyo ndugu yao amepata ajira kupitia interview.?
Nafasi moja mtu anaita Watahiniwa 100? Hizi ni akili kweli?Sasa watapata wapi ushahidi kuwa huyo ndugu yao amepata ajira kupitia interview.?
100?Hapa bongo nafasi moja tu anataka kuchukulia na sifa humo humo anasumbua watu 100
Mwenyewe hua Nachukia sana hii kitu, inabidi waongeze vigezo ili wapatikane wachacheNafasi moja mtu anaita Watahiniwa 100? Hizi ni akili kweli?
Ukiwa na nafasi 4 ita inteview watu 20 tu...
Ndio maana watu wanatuma maombi ili wao wafanya kazi ya kuchuja wapatikane wachacheMwenyewe hua Nachukia sana hii kitu, inabidi waongeze vigezo ili wapatikane wachache
Kwanini wapange 815 kwa nafasi 3?We nae ushaona GPA yako 2.1 nafasi zipo tatu usahili mpo 815 na ww kweli unaenda
Wao ndo wameamua usiwapangieKwanini wapange 815 kwa nafasi 3?
Mfano kwenye zile ajira za utumishi,Ndio maana watu wanatuma maombi ili wao wafanya kazi ya kuchuja wapatikane wachache
Tulishakubaliana muafrika hajakidhi viwango vya kuitwa binadamu.Nafasi moja mtu anaita Watahiniwa 100? Hizi ni akili kweli?
Ukiwa na nafasi 4 ita inteview watu 20 tu...