Elections 2010 Ujumbe kwa watanzania Wana CCM

tumeletewa fiber, sasa mawasiliano bwerere, na tuko njiani kwa mradi mkubwa ICT kwa elimu unaojulikana kwa Tanzania Beyond Tomorrow


nyie lieni tu

Kwa umeme upi? au hutambui kuwa hiyo 'ahadi hewa' inahitaji umeme?LMFAO.
 
Samahani.Eti kwani hapa ni kwa wapinzani peke yao???

kwa wapenda maendeleo, so wewe unasema kasi zaidi wakati hata kidogo haipo are you illision personal ?ww kweli unaweza kuweka pumba hzo hapa ?uhuru unao ila kweli akili zako timamu unaweka huo upupu hapa?
 
Wanasubiri mgawo wa fedha za walipa kodi!! jamani jamani akina mama zangu, tafadhali uchaguzi ukiisha tusianze kutafutana mara ooooo naomba mwanangu hiki siunajua tena serikali haitujali siye wazee! Makosa hayo mnayafanya, muendelee lakini kuna siku mtajuuuta kuyafanya.

Kwa macho yako hao ni wazee???Hao ni wanachama wanaojua umuhimu wao ndani ya Chama!!!
 
kwa wapenda maendeleo, so wewe unasema kasi zaidi wakati hata kidogo haipo are you illision personal ?ww kweli unaweza kuweka pumba hzo hapa ?uhuru unao ila kweli akili zako timamu unaweka huo upupu hapa?

Whether ni pumba or not huo ni mtazamo ndugu yangu.That's what you say kwamba ni pumba but wapo,tena wengi wanaojua si pumba (CCM has 5million registered voters).
 
What a prick! Kwa udume upi? maendeleo yapi?
Mbona hizo harakati za campaign na kujitangaza kwa nguvu zote hizo na ubunifu huu hatuuoni linapokuja suala la maendeleo ya mtanzania.
Liko wapi hata jambo moja la kujivunia amabalo CCM imefanya miaka 5 iliyopita?

Aibu!!!

Kweli umelala!!!Hivi hata kama ni unafiki si hivi.Unataka kuniambia hata kitu kimoja cha maana hujaona??
 
Maendeleo huletwa na watu wenyewe.Serikali ni muwezeshaji tu.

That is the Fact. Ila kama Kiongozi mkuu wa serikali yuko katika hali hii? Unategemea nini?

attachment.php
 
kwa wapenda maendeleo, so wewe unasema kasi zaidi wakati hata kidogo haipo are you illision personal ?ww kweli unaweza kuweka pumba hzo hapa ?uhuru unao ila kweli akili zako timamu unaweka huo upupu hapa?

Huo ni upupu????Hayo ni maoni yako tu!
 
Ofcourse ni ujumbe mzuri
Ed+JK+Ambulance.jpg

Quinine, ile ambulance bado anaongozana nayo kwenye misafara yake au ameacha siku hizi? Duh, hiyo katuni ni noma.

Ila from the original post, what does it mean by dume la mbegu? Maana nijuavyo mimi kwa kurefer ng'ombe dume la mbegu kazi yake ni kupanda majike tu halina jipya. Dume halisi ni maksai ambalo ndo linaweza kuvuta jembe. Ina maana udume wa CCM ni kwenye wamama tu na si kufanya shughuli za maendeleo?
 
Quinine, ile ambulance bado anaongozana nayo kwenye misafara yake au ameacha siku hizi? Duh, hiyo katuni ni noma.

Ila from the original post, what does it mean by dume la mbegu? Maana nijuavyo mimi kwa kurefer ng'ombe dume la mbegu kazi yake ni kupanda majike tu halina jipya. Dume halisi ni maksai ambalo ndo linaweza kuvuta jembe. Ina maana udume wa CCM ni kwenye wamama tu na si kufanya shughuli za maendeleo?

Hii ni lugha ya picha.Ila nawashangaa sababu ujumbe huu uliwahusu wana-CCM
 
What a prick! Kwa udume upi? maendeleo yapi?
Mbona hizo harakati za campaign na kujitangaza kwa nguvu zote hizo na ubunifu huu hatuuoni linapokuja suala la maendeleo ya mtanzania.
Liko wapi hata jambo moja la kujivunia amabalo CCM imefanya miaka 5 iliyopita?

Aibu!!!

Multiplier effect
 
Jamani TandaleOne alitangaza kuwa hii thread ni kwa ajili ya wanaCCM naomba tumwache aendelee kuwaimbia totolala wanachama wenzake sisi tuendelee kujadili mada muhimu ya kujenga taifa...
 
Jamani TandaleOne alitangaza kuwa hii thread ni kwa ajili ya wanaCCM naomba tumwache aendelee kuwaimbia totolala wanachama wenzake sisi tuendelee kujadili mada muhimu ya kujenga taifa...

Leo naona umeamka.Good
 
Back
Top Bottom