Ujumbe Kwa Wanawake mnaojiona wazuri

Ujumbe Kwa Wanawake mnaojiona wazuri

Hongera kwa kusema lililo moyoni....natumai sasa una nafuu.
 
Kk,

"The future is more valuable than the history of the past"

~John Mason~IMITATION IS LIMITATION

I support U BT Focus on the future, yesterday has gone forever!!!
@Mr Gentleman hata kwetu wapo tunakaza mwendo tuu, hakuna kurudi nyuma!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwan huyo manzi yukoje mazee?Manake mamanzi vin'gast they are very easy.
 
Beautful girls fall in love wit bad boys....be a bad boy man acha kulialia ka dem unataka kuoa dem mzur na sisi tumgonge nani aisee ni sawa na kujilimbikizia mali ufisad huo...mfano wema yule wa kuchapa sio kuoa ukioa tunakuchapia.

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
 
haka kajamaa kanalilia mapenzi! hahaaaa,utakufa umedinda polee
 
Siku nyingine wafate wabaya wenzako.....
Hao wazuri waachie wazuri wenyewe....

Hebu tuwekee picha yake tuone je ni mzuri kweli....na anastahili kukuliza kidume....au ndio sura za kina miss chagga Khantwe Mafikizolo na Mamndenyi....???

Pole mkuu tutajumuisha kilio chako kwenye katiba mpyaa....

Onyo;
Kama sura yako ngumu na hela huna....achana na mahaba
Fanya mambo mengine....
 
Sasa Si umuache tu kama unajiona ulimstir?
Acha kulia lia hapa.
 
Mimi mwanamke akishakuwa na dhana ya kujisifu kuwa "Mimi mzuri" then akaleta maringo....ninafungasha vyangu..!
 
Back
Top Bottom