Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
Tunaposema mtu anajali tunamaanisha anasimamia show muhimu kama kumtoa out, hela za barbershop, mavazi, vizawadi vya hapa na pale, perfume na mambo kibwena.
Sasa wewe mwenzangu kujali unadhani ni kujiunga extreme na kuanza kummiminia mimeseji kuanzia asubuhi hadi usiku, mara bebi umekunywa chai? umevaa nini? bebi umeshakula lunch? baby umelala? baby mbona kimya? wenzio wanatuma hela Mpesa au Tigo pesa then message inafuata ''baby nenda kale''.
Kwa style hii ukiachwa kuwa mpole.
Sasa wewe mwenzangu kujali unadhani ni kujiunga extreme na kuanza kummiminia mimeseji kuanzia asubuhi hadi usiku, mara bebi umekunywa chai? umevaa nini? bebi umeshakula lunch? baby umelala? baby mbona kimya? wenzio wanatuma hela Mpesa au Tigo pesa then message inafuata ''baby nenda kale''.
Kwa style hii ukiachwa kuwa mpole.